Recent content by Likasu

  1. Likasu

    Kwa Sisi Wenye Familia ni Vitu Gani Muhimu Tunapaswa Tuwe Navyo Ndani ya Nyumba Zetu?

    Yaani una familia na hujui vitu vya kuwa navyo.
  2. Likasu

    Kupatanisha wanandoa

    Ndoa nyingine ni za kuachanishwa vinginevyo itasababisha LUONGOLISM.
  3. Likasu

    Mume na Baba wa familia anahitajika

    Umeshafika >30 punguza vigezo. Kuna wafanyabiashara wenye tabia njema hawajafikia hiyo hatua ya elimu wana sifa za kuwa mume.
  4. Likasu

    Msaada: Jinsi ya kuweka umeme kwa kutumia LUKU ya jirani

    Nyinyi TANESCO inashindikana vp kuziunganisha luku na application yenu ya tanesco ? Mbona ni jambo dogo ?
  5. Likasu

    Nikinyoa mme wangu atangundua nimefanya mapenzi"

    Acha kutembea na wake za watu. Yatakukuta.
  6. Likasu

    Masikini wana chuki na mimi kwakuwa wamezeeka hawana pesa

    Masikini wamefikia hatua wanasema eti huna vidole vya miguu.
  7. Likasu

    Hivi hii ya Msigwa kumlipua Mzee Ali Kibao ina ukweli gani?

    Inawezekana alikua kama chipset kwenye simu.
  8. Likasu

    Wadau hapa sijapigwa na kitu kizito kweli?

    Umejichanganya kumuuliza. Ungesubiri akueleze yeye mwenyewe. Kama huamini mstukize akutumie picha ya kadi ya kliniki mwambie inahitajika haraka sana usimpe muda kuandaa kadi feki. Akikutumia baada ya siku 2 jua umepigwa.
  9. Likasu

    Uzi maalumu wa kutaja majibu ya kukatisha tamaa, ya hovyo au kuchefua ulowahi kuyapata kutoka kwa shangazi zako

    Zingatia kwamba mama yako pia ni shangazi kwa watoto wa kaka yake.
  10. Likasu

    Ushauri: Shirika la reli (TRC) uzeni vyuma na mitambo chakavu kwa viwanda vya vyuma vya ndani maana hamna matumizi navyo

    Hili wazo sio kabisa wakiuza vyuma chakavu itachochea watu wengine kuhujumu miondombinu ya reli.
  11. Likasu

    Ni kweli wanaotumia simu za Android wako hatarini kudukuliwa?

    Hivi mimi Likasu Pangu Pakavu nalinda nini kwenye simu ? Waidukue tu.
Back
Top Bottom