Unaposema wafamasia in layman language means all pharmaceutical carde. Labda waziri kajiandaa kuajiri hawa watu in huge amount. Hoping for the best
Kila mtu afanye alichosomea huu mtindo wa manesi na madaktari kupenda sana kazi ya kutunza dawa na kuwapatia wagonjwa unakwenda kukoma
Sent using...
Yani wafamasia wafanye mtihani kila mwaka kisa kuna wanaolewa?? Uko serious kweli?? Why only pharmacist wafanye exams??? Au una chuki binafsi na pharmacist. Ulitakiwa u declare interest
Katibu Mkuu huyo ameongeza kuwa Mkoa wa Dar es salaam imeongezewa shilingi bilioni 2 ili kupanua uwezo wa udahili kama Rais alivyoahidi katika mkutano wake na Wazee wa Mkoa huo........ HUO UDAHILI SIJAELEWA HAPO WAKUU..
Mtoa post unataka hivyo vyeo nini?? Tatizo la wizara ya afya ni hayo mavyeo ya kugawiana au upungufu wa dawa na vifaa tiba, kukosa posho ya extra time, wizi wa dawa, na uhaba wa wataalamu watakaokuwa commited to serve the citizens. Hao ma dmo na rmo wao ni vikao tu daily na posho.
Labda you are not informed. Dawa zote za serikali huwa kwa sasa zina nembo kwenye kidonge chenyewe imeandikwa GOT. Kuiba na kuipeleka duka binafsi unaweza ufungiwe duka.
Let me declare interest. Mm ni pharmacist. Sina shida na kuyaondoa maduka hayo jirani bali lzm kuandaliwe utaratibu wa kuongeza budget ya dawa kwa hospitali. Mfano kuna hospitali ilikuwa inatengewa hela ya dawa kwa mwaka 1.5b lkn mwaka huu wa fedha imepewa 360M hapo utakuwaje na dawa? Pia ka...
Lets be honest yule mgombea wa mwanzo alisikika akishangilia deo filikunjombe kupita bila kupingwa hata vyombo vya habari vilionyesha hilo tukio. Nilichogundua binafsi ni mbinu chafu za hao watawala kuleta mapandikizi upinzani.
Hujanijibu swali mkuuu yani amefanya mambo gani ya kuweza kutushawishi tumuone kipija ni bora.. Kumbuka hata huyo alinyakua nafasi ya Visk Mahenge na wengi mlilalamika sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.