Recent content by ligolyser

  1. L

    Matumizi ya mafuta kwenye jeep cherokee grand, naomba ushauri

    ushauri mzuri sana huu mungu akubarik,,nilinunua kwa mtu ila nikaja kugundua kua inakunywa mafuta saana kama 5km/ltr,miss ipo boss
  2. L

    Matumizi ya mafuta kwenye jeep cherokee grand, naomba ushauri

    wasengerema kama wewe waga mnatumia mat-ko kufikiria pumb-vu,na karibu tena
  3. L

    Natafuta car music amplifire

    whats ngap
  4. L

    Matumizi ya mafuta kwenye jeep cherokee grand, naomba ushauri

    Asante mkuu lakini gari waga siitumii mara kwa mara
  5. L

    Natafuta car music amplifire

    Naitaji iyo kitu my offer 80000 call 0756664797
  6. L

    Matumizi ya mafuta kwenye jeep cherokee grand, naomba ushauri

    Nina jeep cherokee grand limited ya mwaka 1996,fuel consuption yake kidogo hainipi matumain,kuna fundi akaniambia ni kwakua haina return ya mafuta (wataalam mnanielewa) ivo mafuta yakienda yameenda tofauti na magari mengine yenye return, So nikagusia ishu ya kuibana isinywe bado sijapata fundi...
  7. L

    Naomba msaada wa kuondoa tatizo hili kwenye iPhone

    sasa chief mkwawa tunafanyaje kuondoa tatizo hilo
  8. L

    Mke wangu ameniudhi tena

    we pigapiga kelele tu fa..a wewe,subiri baba mkwe aje akusaidie ndio upate akili,izi ndoa za utotoni waga zinasumbua sana,
  9. L

    Mke wangu ameniudhi tena

    acha ujinga wa mawazo finyu,wewe mwenyew yamekushinda umekuja kuleta janvini watu wakusaidie,tena wengi wao huwafahamu kwa id zao za uongo,lkn yeye kusema kwa baba mkwe imekua kesi
  10. L

    Naomba msaada wa kuondoa tatizo hili kwenye iPhone

    Nilinunua iphone 4s kwa mtu lkn siielewi kabisa, nikitaka kuweka vocha yenyewe inapiga simu, nikitaka kuangalia salio yenyewe inapiga simu na kusema namba haipo
  11. L

    Jeep Cherokee grand exchange deal

    ni ya mwaka 1996,engine capacity 3900,na imetembea km 780000,alikua anaitumia mzimbabwe akarudi kwao so ipo imepaki kweny yard ya kampuni(kagera sugar),nimeinunua mimi juzi tu bt haina tatizo lolote lile bali toka jamaa aondoke haijawai kuendeshwa zaid mimi nilifanya test juz iyo,na duty...
  12. L

    Hii bikra inaninyima raha kabisa

    asante mkuu nafanyia kazi ushauri huu,
Back
Top Bottom