ni ya mwaka 1996,engine capacity 3900,na imetembea km 780000,alikua anaitumia mzimbabwe akarudi kwao so ipo imepaki kweny yard ya kampuni(kagera sugar),nimeinunua mimi juzi tu bt haina tatizo lolote lile bali toka jamaa aondoke haijawai kuendeshwa zaid mimi nilifanya test juz iyo,na duty...