Nina jeep cherokee grand limited ya mwaka 1996,fuel consuption yake kidogo hainipi matumain,kuna fundi akaniambia ni kwakua haina return ya mafuta (wataalam mnanielewa) ivo mafuta yakienda yameenda tofauti na magari mengine yenye return,
So nikagusia ishu ya kuibana isinywe bado sijapata fundi mzuri,naomba kuuliza je,nikiibana itapunguza uwezo wake na nguvu?ni cc3995.
Shukran.
So nikagusia ishu ya kuibana isinywe bado sijapata fundi mzuri,naomba kuuliza je,nikiibana itapunguza uwezo wake na nguvu?ni cc3995.
Shukran.