Mke wangu ameniudhi tena

Mke wangu ameniudhi tena

Ndoa hizi majanga! We mleta mada huna mshenga wewe? Mambo ya ndani kuyaleta mtandaoni inahusu??! Inaonyesha huna sauti kama mwanaume! Mda mwingine mtie hata vibao kidogo umweke sawa inapunguza stress!
 
Ndio nmemwambia na ameniomba nmsamehee kwa hilo.
Mie sijaleta tatizo langu hapa nipate soln coz she still my wife even though.....
Nmetoa taarifa tu ili kushare experience na watu wa rika langu.
Labda unifundishe ni habari gani ambayo inatakiwa iwepo....nakwani kuileta ndo kutaka ushauri...

Mna miaka mingapi kwenye ndoa yenu?
 
Juzi nilileta taarifa ya wife kutojua usafi na kupika dagaa kila siku nilipanga kumfungisha virago but kutokana na huruma ya wanajukwaa nimemuweka chini nmempa tuition na tumedraft ratiba ya chakula kwa wiki nzima nkamsamee.

Sasa kama wiki ya pili kuna suala ambalo tunalishughulikia kwa pamoja na nmemshirikisha wife kwa 100% ingawa mie ndio ninayeangaika nalo.
Wife aliponiudhi ni pale alipo mwambia baba yake yaani baba mkwe wangu,Jana amenipigia simu na kunieleza yale yote ambayo yapo mezani kwetu tuliyopanga na wife.....na amesisitizia ilo suala ni gumu na anajitolea kutusaidia..nilikosa jibu la kumpa na kuhisi wife amenidhalilisha
Ukizingatia mkwe wangu ni muhafidhina sana mpaka nahisi labda anaona mwanae hayupo eneo sahihi

Nmekasirika sana mpaka nahisi kukimbia kabisa nisionekane tena.

My take....wanawake msipende kushirikisha watu kwenye mambo yenu wawili hata kama baba ako ni tajiri ana uwezo wa kusolve iyo problem.

Natoa taarifa ya wife kuniudhi tena ndani ya 2015...over
acha ujinga wa mawazo finyu,wewe mwenyew yamekushinda umekuja kuleta janvini watu wakusaidie,tena wengi wao huwafahamu kwa id zao za uongo,lkn yeye kusema kwa baba mkwe imekua kesi
 
acha ujinga wa mawazo finyu,wewe mwenyew yamekushinda umekuja kuleta janvini watu wakusaidie,tena wengi wao huwafahamu kwa id zao za uongo,lkn yeye kusema kwa baba mkwe imekua kesi

We endelea tu na shobo zako izo...nani amekwambia yamenishinda na nataka kusaidiwa....

Wasengerema kama nyie mnaokurupuka dudu ikigusa gololi mi natupa kule....shwain
 
Huyu mwanaume
mwenzenu nae ni tatizo, vimambo vidogo vidogo ndio hadi alete jf, hawezi
kuwa baba kama hawezi kuhimili vimambo vidogo vidogo, sasa yeye
anakimbilia jf, mkewe sijui kwao, hiyo nyumba mauzauza. kuna mambo
mwanaume anapaswa kuamua kiume yeye kama baba. jifunzeni nyie
watoto

ila kumbuka hajaomba hapa ushauri! jaman kuna mambo mengine yanaboa kaja kushare experience ya maisha.

hata ungekuwa wew unaboreka mtu mnaongea kitu nda turiiiiiiii kwa baba as if mme kashindwa?

mtu ukisha olewa inabidi kuamini kuwa mmewe anaweza sio mnafanya kitu na hamjashindwa, nduki kwa baba hapana.

labda nkijadiliana kuwa mkaombe msaada hapo sawa.otherwise ni dharau. sory.
 
We endelea tu na shobo zako izo...nani amekwambia yamenishinda na nataka kusaidiwa....

Wasengerema kama nyie mnaokurupuka dudu ikigusa gololi mi natupa kule....shwain

we pigapiga kelele tu fa..a wewe,subiri baba mkwe aje akusaidie ndio upate akili,izi ndoa za utotoni waga zinasumbua sana,
 
Juzi nilileta taarifa ya wife kutojua usafi na kupika dagaa kila siku nilipanga kumfungisha virago but kutokana na huruma ya wanajukwaa nimemuweka chini nmempa tuition na tumedraft ratiba ya chakula kwa wiki nzima nkamsamee.

Sasa kama wiki ya pili kuna suala ambalo tunalishughulikia kwa pamoja na nmemshirikisha wife kwa 100% ingawa mie ndio ninayeangaika nalo.
Wife aliponiudhi ni pale alipo mwambia baba yake yaani baba mkwe wangu,Jana amenipigia simu na kunieleza yale yote ambayo yapo mezani kwetu tuliyopanga na wife.....na amesisitizia ilo suala ni gumu na anajitolea kutusaidia..nilikosa jibu la kumpa na kuhisi wife amenidhalilisha
Ukizingatia mkwe wangu ni muhafidhina sana mpaka nahisi labda anaona mwanae hayupo eneo sahihi

Nmekasirika sana mpaka nahisi kukimbia kabisa nisionekane tena.

My take....wanawake msipende kushirikisha watu kwenye mambo yenu wawili hata kama baba ako ni tajiri ana uwezo wa kusolve iyo problem.

Natoa taarifa ya wife kuniudhi tena ndani ya 2015...over
Hivi wewe ni mwanaume kweli?

Bitching all around isn't a character of men

You need to man up or shut up
 
We endelea tu na shobo zako izo...nani amekwambiia yamenishinda na nataka kusaidiwa....

Wasengerema kama nyie mnaokurupuka dudu ikigusa gololi mi natupa kule....shwain
Wewe ni mboga tu... Wanaume hawapigi Kelele za kingese kuhusu wake zao mitandaoni
 
Uanaume wako nina wasiwasi nao au bado mvulana mkuu?
Jingine nililoliona ni NDOA ZA UTOTONI
 
Huo ni ubavu wako,huoni mna tabia zinafanana ila mnapishana tu pa kusema mambo yenu ya ndani?
 
Hivi wewe ni mwanaume kweli?

Bitching all around isn't a character of men

You need to man up or shut up

Wewe ni mboga tu... Wanaume hawapigi Kelele za kingese kuhusu wake zao mitandaoni

We KIWAVI umeamua kunitukana....

Icho kipele kinachokuwasha mie si...----....gi mi...ku....ndu mikubwa yawazee.

Hapa haujaitwa na wala sinashobo na makumaaaa kama nyie...u better shup up your big ass hole.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom