Kumwongoza mtu maskini ni rahisi sana, songea vijijini ni halmashauri inayoongoza kwa umaskini mkoa wa ruvuma, ndio maana hata makusanyo yao ya mapato ya ndani ni wamwisho kila robo ndani ya mkoa
Eti kazi nzuri inayofanywa na raisi, kazi gani hiyo mbona hazionekani machoni kwa watu. Analazimisha kupendwa, hakuna raisi aliyetokea kupendwa kama kikwete kwa awamu ya kwanza pekee alishinda kwa kura 88% yeye na 52 % anatusumbua tu huku mitaani
Yaani
Yaani hicho ndicho kinachonifanya niichukie serikali ya magufuri. Sasa tunaingia mwaks wa nne hajapandisha mishahara wala madaraja. Sisi wafanyakazi ndio tunaojua ukweli , hao wanasiasa wanao tangaza kila siku madaraja yamepandishwa wanajua ukweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.