shamba lipo kijiji cha mgala kabla hujafika kifanya,na lipo umbali wa km 40 toka songea road.linafaa kwa kupanda miti,bei ni tshs. laki 1 kwa kila ekari 1. 0718317773
Wahusika wa haki za wafanyakazi piteni katika shule hii. Watumishi wananyanyasika sana, si mwalimu wala mfanyakazi wa kawaida. Hawalipi wafanyakazi mishahara kwa muda muafaka. Mishahara inalimbikizwa hadi miezi 7 hadi 10 mtu hajalipwa haki zake. Ukijifanya mfuatiliaji, unapelekwa polisi...
Ni miezi kadhaa sasa tangu tupate maji ya dawasco ubungo msewe...au ndiyo kumkomoa mnyika na wananchi wake? mnyika wapi sasa?,raia wako tunakufa huku. au mwakani tuangalie upande wa pili kama umeshindwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.