Recent content by LIGEDENGE 1

  1. L

    Waliochaguliwa kujiunga na Stashahada ya Elimu 2015/2016-UDOM

    Naomba kujulishwa wanatakiwa kuripoti tarehe ngapi?. maana nina dogo anatakiwa huko.
  2. L

    Shamba la ekari 150 linauzwa mkoani njombe

    shamba lipo kijiji cha mgala kabla hujafika kifanya,na lipo umbali wa km 40 toka songea road.linafaa kwa kupanda miti,bei ni tshs. laki 1 kwa kila ekari 1. 0718317773
  3. L

    Uchunguzi wa kina ufanyike katika shule ya ST. Benedict Njombe

    Wahusika wa haki za wafanyakazi piteni katika shule hii. Watumishi wananyanyasika sana, si mwalimu wala mfanyakazi wa kawaida. Hawalipi wafanyakazi mishahara kwa muda muafaka. Mishahara inalimbikizwa hadi miezi 7 hadi 10 mtu hajalipwa haki zake. Ukijifanya mfuatiliaji, unapelekwa polisi...
  4. L

    Askari wawili wauawa na majambazi Kongowe

    kumekuchaaa...
  5. L

    Mgombea ubunge njombe kusini 2015

    jamani wana njombe kusini,nani atasimama kugombea hiyo nafasi. maana kimya hadi sasa,au maza atatetea jimbo kama kawa?
  6. L

    Usalama umezingatiwa

    hivi vituko unavioteaga wapi wewe?.. nomaa
  7. L

    Hongera wizara ya elimu

    ni upepo tu unapita
  8. L

    LiveCam From Mabibo

    duh ova njuka...matranka tena?.
  9. L

    Morogoro road ilijengwa mwaka gani?

    Barabara ya morogoro road?...ndiyo nini?
  10. L

    Msaada: Vhs to dvds conversion

    naomba uni pm namba zako nikucheki. nahitaji kubadili vhs to dvd. msaada
  11. L

    Mnyika, watchout! Maji Ubungo yatakuondoa...

    wapo watakao nielewa.
  12. L

    Mnyika, watchout! Maji Ubungo yatakuondoa...

    wananchi tunataka maji, bla bla zenu hizo,tupa kule
  13. L

    Mnyika, watchout! Maji Ubungo yatakuondoa...

    Ni miezi kadhaa sasa tangu tupate maji ya dawasco ubungo msewe...au ndiyo kumkomoa mnyika na wananchi wake? mnyika wapi sasa?,raia wako tunakufa huku. au mwakani tuangalie upande wa pili kama umeshindwa?
  14. L

    Kijana, kujenga nyumba ni uoga wa maisha

    mawazo finyu+uvivu wa kufikiri
Back
Top Bottom