Hongera wizara ya elimu

Hongera wizara ya elimu

Elimu ya Tanzania itaboreshwa na watanzania sisi wenyewe kwa kuungana na kuwa kitu kimoja tukiangalia wapi tumeanguka then nini tufanye tuweze kusimama kidete. Sio muda wa kutafuta mchawi huu. Ni muda wa mabadiliko. Lugha za matusi na kashfa zinaturudisha Misri jamani. Tuweke mipango mikakati ili tutoke kwenye hili jangwa la elimu mbovu tufike kanaan kwenye matarajio yetu tunayoyataka.
 
Kufutwa kwa certificate level kwenye vyuo vya ualimu kuendane na investiments za uhakika ktk sekta zingine za elimu ie curriculum yetu in general bi Majanga. Facilities za elimu yetu hazifai kwa matumizi halali ya binadamu, it's totally a mess, the learning environment in general, mahusiano kati ys mwalimu na mwanafunzi siku hizi maadili yameshuka, nn kinafanyika? Therefore mfumo wetu wa elimu kwa ujumla wake unahitaji reforms kubwa xana. Tunahitaji kutoka kwenye elimu ya kukariri ili kufaulu mitihani. TUTAFAKARI…,TUCHUKUE HATUA
 
ww ganja yako unachanganya na mavi mwl kamfundisha hd baba ako hujui ww ----
 
Hapa suala la msingi ni kuwaboreshea walimu mazingira ya kazi tu, mishahara mizuri na nyumba nzuri baaaaasi.
 
Nawapongeza sana wizara ya elimu kusitisha kutoa mafunzo ya certificate ya ualimu kwenye vyuo vyake kuanzia mwakani.Hii ina maana kuwa watakuwa wakitoa mafunzo ya kuanzia Diploma ya ualimu.Hivyo kuondoa uwezekano wa wale waliofeli kidato cha nne kujiunga na ualimu kwa kuwa mtu ili ajiunge na diploma inabidi awe kafaulu vizuri kidato cha nne.Hivyo ina maana kuwa kiwango cha chini cha elimu cha mwalimu wa msingi itakuwa ni diploma na sio certificate.Itasaidia kupandisha kiwango cha ufundishaji.

Pia ni tahadhari kwa walimu wenye certificate kuwa wajisomee wawe na diploma maana muda si mrefu watajikuta tu-certificate twao twa ualimu hatuna mbele wala nyuma.

tu, twa, twao ???? una degree ngapi man
 
Unaposhangilia kufutwa kwa ngazi hiyo ya cheti, ndio umeboresha elimu?
Je unajua vigezo vya kuwapata hao walimu tarajali unatofauti gani na wa awali wa cheti?

Je umejisumbua kupata taarifa sahihi zaidi ya juu juu ju ya jambo hili?
 
Nina wasi wasi na malezi anayoyapata mtu mmoja anayejiita sijui Ganja nini....eti waalimu hawajitambui.?? Unajua kama huo ugali anaokulisha mzee wako bila kuwapo mwalimu usingeupata..?? Hiyo akili inayokufariji na kuhisi kwamba unajitambua bila waalimu waliotengeneza mazingira hayo ungeipata..??
Unadai kwamba walimu wanatishia kugoma halafu hawagomi...umewahi hata kujiuliza kwann huwa hawagomi..?? Hao unaowaita hawajitambui wanafikiria mbali sana zaidi ya wewe unaehisi unajitambua..wanajua kugoma kwao hakutawaathiri waajiri wao moja kwa moja Bali atakayeathirika ni mtoto Wa masikini ambaye hata kula yake ni shida..!! Kwa taarifa yako mwalimu n zaidi ya unavyomchukulia au kumfikiria..
 
Makalio yake, ndo huyu mtu kakalisha kalio eti nimfundishe afaulu mxyuuuu bora nkauze madira

Tumsamehe basi. data amenambia kuwa huyu ana mtindio wa ubongo...
Hapa nafanya juhudi za kumtafutia mwalimu wa special need...
 
Last edited by a moderator:
Tumsamehe basi. data amenambia kuwa huyu ana mtindio wa ubongo...
Hapa nafanya juhudi za kumtafutia mwalimu wa special need...

wenye mitindio ya ubongo ni walimu maana hata ukikutana nao kitaa ukaanza kupiga nao story utacheka wanachokizungumza hii kada bhana inahitaji msaada wa kisaikolojia
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom