Recent content by Ligamba

  1. L

    Suala la Kibu Dennis na Fifa ranking, tutakoswa adhabu kweli?

    Mkuu comment zako sio za kiungwana na sio za kiuanamichezo kbs, Yanga unaiona tamu kwasababu ya Simba nzuri, na huu ni mpira lengo ni burudani, usikaze meno sana.
  2. L

    FT: Dodoma Jiji 0 Simba 1

    "The return of champion"
  3. L

    Ndoa yangu inateketea

    Pole sana, hapo huna jinsi mzee, mkeo amekuacha na kubali kuachika, naamin umewahi kuacha ilikuwaje pale uliyemuacha akiendelea kung'ang'ania kubaki nawew, najua ilikuwa kama kero kwako vivyo ndivyo itakavyokuwa kero kumng'ang'ania huyo mwanamke, najua inauma kwa kuwa ni mkeo wa ndoa ila hamna...
  4. L

    Biashara United (Mara) | Special Thread

    Wamedai kuna shida ya kibali huko Djibouti
  5. L

    Muuzaji wa duka la dawa anatakiwa

    Lakin nyumba na kila kitu ajitegemee mwenyewe sio??
  6. L

    Muuzaji wa duka la dawa anatakiwa

    Nishauri ifike ngap angalau? Hatokaa kwangu, nitampangia na kumnunulia kila kitu na chakula
  7. L

    Muuzaji wa duka la dawa anatakiwa

    Unaweza nishauri pia, maana hapo malaz na chakula ni juu yangu
  8. L

    Muuzaji wa duka la dawa anatakiwa

    Eneo la Kazi ni Kibiti Pwani, awe msichana anayeweza kufanya kazi kt mazingira ya kijijini kidogo. Biashara ni ndogo na inaanza ila kwa eneo lilivyo baada ya muda mfupi nategemea matokeo makubwa. Akiwa mkristo ni lazima ahudhurie kanisani, na akiwa muislamu hali kadhalika. Mshahara kwa kuanza...
  9. L

    Nimeandikiwa msg hii!

    Ndo maana malalamiko ya kukosa ajira yanaongezeka, taka taka kama hizi eti uziajili kwenye kampuni au taasisi yako, mafiiiiii
  10. L

    Nipo njiapanda: Shule au Ajira?

    Nimeona tu nikafanye kazi Kiongozi then nitaona namna ya kuendelea na shule
  11. L

    Nipo njiapanda: Shule au Ajira?

    Nimekupata vema sana. Ngoja nikafanye kazi, sauti ya wengi ni sauti ya Mungu
Back
Top Bottom