ntazana ntazana
JF-Expert Member
- Sep 18, 2021
- 1,708
- 3,020
Comments zinafurahisha
Ni kweli sio Mtanzania ni mkimbizi wa Burundi, chakufanya wampe tu uraia harakaJamaa alicheza mechi ya kirafiki na malawi akatoa assist moja, akangushwa na kusababisha foul iliyozaa goal, tukawapiga malawi goal 2 ikasaidia kidoogo kupanda ranks za Fifa..
Bro sio fitina ni kweli ni mkimbizi wa BurundiBaada ya kusajiliwa simba imeibuka fitna kwamba Kibu ni mburundi ,ndiyo maana hachezi hadi sasa na kocha wa stars analalmika anasema anamuhitaji sana, simba imepaniwa kila kona soon utasikia wachezaji wetu wanapigwa visu mitaani
Mkuu comment zako sio za kiungwana na sio za kiuanamichezo kbs, Yanga unaiona tamu kwasababu ya Simba nzuri, na huu ni mpira lengo ni burudani, usikaze meno sana.Na tutawaua kweli
Kunywa maji mengi halafu Legeza misuli ya kichwa hiyo wwMkuu comment zako sio za kiungwana na sio za kiuanamichezo kbs, Yanga unaiona tamu kwasababu ya Simba nzuri, na huu ni mpira lengo ni burudani, usikaze meno sana.
Tuhuma zinazomkabili ni kuwa na uraia wa nchi mbili ambayo kwa FIFA siyo kosaBaada ya kusajiliwa simba imeibuka fitna kwamba Kibu ni mburundi ,ndiyo maana hachezi hadi sasa na kocha wa stars analalmika anasema anamuhitaji sana, simba imepaniwa kila kona soon utasikia wachezaji wetu wanapigwa visu mitaani
Watapigwa visu kwa ushetani wao, Hawa so ndio wanavunjaga ndoa za watu wa bongo fleva?
Hivi unadhani natania kama mchezaji ambaye tayari keshacheza top level for 3 years na team ya taifa leo anaambiwa siyo raia kisa simba unadhani hawa jamaa wanatania? FOR HOOKS OR CROOKS watafanya lolote lile wameumia sana miaka 4 they are confused.
Mburundi=Mrundi✓Baada ya kusajiliwa simba imeibuka fitna kwamba Kibu ni mburundi ,ndiyo maana hachezi hadi sasa na kocha wa stars analalmika anasema anamuhitaji sana, simba imepaniwa kila kona soon utasikia wachezaji wetu wanapigwa visu mitaani
Nadhani ni kejeli za ushabiki.Hiz comments sijuh watu wanafikiria Kabla ya kuandika naona utopolo tu ongeen Kama great thinker think higher
Ana kitambilisho cha kupigia kura.
Ana Kitambulisho cha Taifa.
Ana Passport ya Tanzania.
Hao ni Nyuma Mwiko
Ndio ila wangetakiwa watupe history ya family ya kibu Denis kuwa wazaz wake wako Wap ndugu alizaliwa Wap na alisoma Wap s mihemuko tuNadhani ni kejeli za ushabiki.
Wala sio mafanikio ya simba,mafanikio gani hayo ya kutisha? tatizo la nchi hii ni kuwa na mfumo mbovu wa kujua raia wake, kwa ufupi huyu jamaa ni mrundi na aliingia Tz, kama mkimbizi akaishi kwenye kambi za wakimbizi, chini ya UNHCR, na jina lake limeonekana huko, hapo uyanga na usimba unatoka wapi?mwenye jukumu la kudhibitisha uraia wake, ni yeye mwenyewe, na idara husika ikiridhika suala limekwisha, au aombe tu uraia c basi?Kote Geita gold, mbeya city, taifa stars kacheza kama Mtanzania, Utanzania wake ulikoma baada aya kusajiliwa simba, kila siku nasema mafanikio ya simba ya miaka 4 ni kosa kubwa sana waliowahi kulifanya mwaka huu vita viko kila upande bado kulipua tu kambi pale wachezaji wafe wote