Wanazuia wakulima kuuza mazao yao nje huku serikali pia ikiingiza vyakula vingine kutoka nje. Hivi kweli serikali inajali wakulima?
Wakulima wamelima alizeti ya kutosha serikali inaingiza mafuta ya alizeti kutoka nje.
Hivi huyu mkulima ataendelea kweli. Hapo hujaweka hizo gharama za kilimo.
Hello members,
Natafuta mtu mwenye kuuza Diagnosis machine ya magari yote iwe mpya au used. Au kama kuna mtu mwenye software ya Diagonis machine aniuzie kwa ku install kwenye laptop yangu.
Karibuni
Wadau salamu kwenu.
Naombeni kujua nitawezaje kujua kampuni halali ya kufanya malipo online. Niliwahi kununua kitabu online nilikoma. Majamaa wakaendelea kukata hela kwenye akaunti yangu kila wiki kwa viwango tofauti.
Nisaidie nitajuaje kampuni halali na fake.
Asanteni. Jumapili njema.
Hello members.
Natafuta gari iliyokaa vizuri. RAV4 au Harrier hela ninayo kwenye mfuko wa shati. Aliyeko na biashara serious please ni pm. Bajeti yangu 8m -10m.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna moja amenishinda tabia. Nilimwaprochi. Cku moja Akaniomba nimpeleke mahali kwenda huko akaomba nimnunulie kitu cha laki 2 dukani kwa rafiki yake. Nikalipa. Nikaomba mechi akasema bado nisubiri. Wiki iliyofuata akaomba simu nikampa ya laki 4. Na bado nauli akaniomba nikamkumbushia mechi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.