Recent content by life coach

  1. life coach

    Mkwara wa kibabe: Majasusi wa KGB walivyowafanya magaidi wa Hezbollah waliowateka diplomats wao wanne.

    Urusi kabla haijaitwa urusi wakati ikiitwa kiev rus iliwai kutawaliwa na mongolia kwani mongolia ndo ilikuwa wababe wa kipindi hicho. Sasa mongolia ilikuwa unachukua kodi urusi ya kipindi hicho,walipoongeza Kodi ndo warusi wakaona isiwe shida ndo wakaanza kuzichapa na mongolia. Mongolia ndo...
  2. life coach

    Mkwara wa kibabe: Majasusi wa KGB walivyowafanya magaidi wa Hezbollah waliowateka diplomats wao wanne.

    Sio kweli. Napoleon hajawai kuiteka Moscow. Vita unayosema wewe ilikuwa ni dhidi ya Mongolia.
  3. life coach

    Wanawake huboresha,Wanaume hurekebisha.

    Habari wana jamii. Kwa sasa natengeneza video clip za dk moja ambazo huelezea jambo flani.Maelezo ya video hizo hubeba falsafa kubwa sana ambazo zimeandikwa katika mtindo mwepesi ili kufanya kila mtu aweze kuelewa kutokana na ufahamu wake. Lengo kuu ni kuelezea mambo ambayo mimi binafsi naona ni...
  4. life coach

    How does WhatsApp Make Money?

    WhatsApp wanapata hela sana. Kila unapotuma sms,kuangalia video,kutuma nyimbo nk kuna kiwango cha mb huwa unatumia.whatsapp wanachofanya ni kurekodi kiwango chako cha mb na kukibadilisha kwa kukipa thamani flani ya fedha,whatsapp hupata fedha hizo kutoka kwenye makampuni ambayo huusika na kuuza...
  5. life coach

    Mtazamo: Mungu na Shetani ni vitu vya kusadikika

    Unaposema hakuna Mungu wala shetani unamaanisha nini?Unatumia vigezo gani kusema Mungu na Shetani ni vitu ambavyo havipo? Naomba nikusaidie kidogo kukuza ufahamu wako. Katika ulimwengu wa leo kila kitu kinachoonekana hutokana na kitu ambacho hakionekani.Mfano mzuri ni kupanda mbegu na baadaye...
  6. life coach

    Putin visits his former KGB boss on his 90th birthday 

    Slava putina Huraaaa huraaaa huraaaaa
  7. life coach

    Putin, Trump speak by phone, discuss Syria, N.Korea – Kremlin

    Lini mrusi alishindwa chechinia? Nenda kamwangalie pale RAMADHANI KADROV. Lengo la chechinia ilikuwa ni kujitenga so kusema URUSI ilishindwa manake leo hii chechinia ingekuwa ishajitenga.
  8. life coach

    Rais wa marekani na rais wa Urusi wafanya makubaliabo ya kupambana na N Korea

    Jeshi lipo karibu tangu miaka 50 iliyopita.Mazoezi hata wewe unafanya.swala ni kuvamia mana uwepo wa jeshi au kufanya mazoezi ni jambo la kawaida tu. Majuzi walienda,ila wao wenyewe wakarudi na kujifanya walikosea njia so sitashangaa kesho wakisema walikosea kufanya mazoezi pia. Action speak...
  9. life coach

    Rais wa marekani na rais wa Urusi wafanya makubaliabo ya kupambana na N Korea

    Wamefanya makubalino ya kumaliza tatizo la korea kaskazini kidiplomasia sio KIJESHI.
  10. life coach

    Putin, Trump speak by phone, discuss Syria, N.Korea – Kremlin

    Umeambiwa ni kwa njia ya kidiplomasia.sasa mambo ya kuchapana yanatoka wapi?
  11. life coach

    Maneno maarufu secondary za bweni

    Sifongo Banzi Junction Pola
  12. life coach

    Tetesi:Korea ya kaskazini imejaribu kombora lingine Jumamosi asubuhi

    " am saddened when i see international community fall for these cheap tricks of NK" So are you trying to say that u know more about NK than the international community? Devil is a liar))))))) Pls i beg oooooo, ogaaa make me no laugh oooh)))) Talking about super power,USA IS A SUPER ECONOMIC...
  13. life coach

    Tetesi:Korea ya kaskazini imejaribu kombora lingine Jumamosi asubuhi

    You are both new to JF and AMERICAN PROPAGANDA. You don't make sense at all,since anyhow is how,but your how is not how.You don't need anything just to know NORTH KOREA have a weapon of mass destruction.If KIM didn't, don't and won't have it, there will be no NORTH KOREA in this world.TRUMP...
Back
Top Bottom