hakuna kitu nu dada. te teh teh! kuna vitu huwa ni vigumu sana kuvikubari kama kuambiwa hakuna Mungu v/s shetanikama hivyo havipo kuna ninii?
si bado tunajikusanya!. Sasa we hauko upande wetu mbona umekuja hapa dada?MPAKA SASA MMEFIKIA WANGAPI?
hakuna kitu kigumu kama kuamini kuwa hakuna Mungu. ila sasa ni vigumu kuamini kama kunakitu ama nguvu ya kuyaweza yoteNapenda kuwakumbusha watu kua Mungu hayupo na shetani hayupo...kwahiyo watafakari upya dhana ya dini na imani
Unaposema hakuna Mungu wala shetani unamaanisha nini?Unatumia vigezo gani kusema Mungu na Shetani ni vitu ambavyo havipo?Napenda kuwakumbusha watu kua Mungu hayupo na shetani hayupo...kwahiyo watafakari upya dhana ya dini na imani
Pembe tatu duara ina jina lakini yenyewe haipo.....swali la kwanza ni nonsense.Mimi kabla sijakubaliana na wewe au kuukataa msimamo wako ningependa unisaidie kujibu maswali haya 2.
1. Kwani shetani ndio kitu gani na Mungu je nacho ndio kitu gani?
2. Hivi hapa duniani kuna kitu kina JINA halafu chenyewe hakipo?
Ukinijibia hayo maswali yangu vizuri then nitaungana na wewe kwenye msimamo wako but laa ukishindwa then nitajua kumbe hata wewe unaongea usio yaamini.