Recent content by Lidya Mosha

  1. L

    Rais Magufuli na Mh. Mbowe uso kwa uso leo

    Anamwogopa Mbowe au?
  2. L

    Jeans ya kuvaliwa miaka 5 mbona imeanza kushonwa na kuwekwa viraka mapema?

    Aisee hiyo jeans ni hatari,,itabidi ibadilishwe inunuliwe original manake nahisi hiyo itakuwa ni feki
  3. L

    Kwa aina ya mazoezi niliyoyaona Ukonga na Moshi, wana UKUTA badilini gia!

    Kwan nini,,kufa ni kufa tu,,haki haiombwi bali inatafutwa!!
  4. L

    Kwa aina ya mazoezi niliyoyaona Ukonga na Moshi, wana UKUTA badilini gia!

    Sawa,,lkn nguvu ya umma haiwezi zuiwa hata siku moja,,watawala waige democracy ya Zambia,,sio kupretend tu kuwa Tz ni nchi yenye democracy wkt hakuna,,democracy imebaki midomon tu,,
  5. L

    Kwa aina ya mazoezi niliyoyaona Ukonga na Moshi, wana UKUTA badilini gia!

    Mikutano na maandamano ni haki kisheria,,kazi ya jeshi la polisi ni kuimarisha ulinz na usalama na sio kuzuia maandano wala mikutano
  6. L

    Kwa aina ya mazoezi niliyoyaona Ukonga na Moshi, wana UKUTA badilini gia!

    Kwan tarehe 1 sept kuna uvunjifu wa amani??cha msingi waruhusu UKUTA then waimarishe ulinzi na usalama ili kwa yeyote atakayeleta vurugu achukuliwe hatua kisheria
  7. L

    Dawa za kuongeza urefu

    Ukishakuwa mrefu,,,halafu,,,acha kukufuru uumbaji wa Mungu
  8. L

    Dakika 45 ITV; Naibu waziri hakujiandaa?

    Haya chachaaa!!
  9. L

    Wadada, hili swali mbona hamliulizi kwa Hingrishy?

    Ahaaaa,,ahaaaa,,makubwa[emoji13] [emoji13]
  10. L

    Wanawake Wananichosha Hapa Tu..!!

    Sio kweli bhanaaa
  11. L

    Chepuko lenye "Nguvu za kiume"

    Umeombwa namba za mkeo ili wengine nao wafaidi utamu wa mke wako
Back
Top Bottom