Lidya Mosha
Member
- Jun 15, 2016
- 33
- 9
Haya chachaaa!!
Bungeni huwa wanajipanga sanaHuyo ni Kisesa, Mbona Bungeni huwa anaonekanani mjenga hoja mzuri? Au mzuka wa mtukufu umemfanya kipoteza confidence?
Huyu sio cruiser peke yake na mawasha washa yatakuja kumbeba. Sijui mama bado yupo uraiani....Mkuu chungulia kwanza nje huko hakuna land cruiser kibao
Bali ni za Chama na Sirikali sio ?Hapana, sio Cream za Chama
HahaaààHuyu si kutoka jimbo la Msalala ama! Hivi huwa wanashawishi vipi wapiga kura au ni miziziology?
mmmh, kachemka isivyo kawaidaJamaa kachemka inawezekana alitaka kuongea toka moyoni akaweka ubongo pembeni