Jibu zuri sana hili...tatizo maana halisi kwasasa ya likizo hakuna!watoto wanaachiwa mno kuzurura,kuangalia Tv muda wote na si kukaa kujikumbusha yale waliyojifunza...sasa bora tu wawe wanakaa shuleni..
Heri tu wawe wanakaa huko shuleni kuliko kutwa kuwaacha wanashinda kuangalia Tv na kukariri Mashairi ya Baba Lao badala ya kujikumbusha masomo!Wazazi wameshindwa malezi bora Serikali iwasaidie[emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji1][emoji1][emoji1]Wanawake hata haieleweki Kaka zangu wanataka nini hilo msijisumbue...We mpende,mjali na mthamini!Haya mengine mbwembwe tu na kama asiporidhika huyo ana matatizo yake!
Kwa wazazi wetu na tulivyolelewa huo unaonekana uhuni wa hali ya juu...na hata mimi nikikutana na mtu wa staili hiyo namuona wa ajabu sana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji19]
ingia google search engine...ukiwa unaingia kwenye simu kuna meseji huwa inakuja pale na kitu kama link....sasa paste ile link hapo na usearch...utaona moja kwa moja details za kadi yako zinatokea...save na hakikisha humuoneshi mtu kwa usalama zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.