Recent content by lian rich

  1. L

    Kuota namulikwa na mwezi mchana

    Ooooh hakuna kitu kibaya kilikukuta baada ya kuiota?
  2. L

    Kuota namulikwa na mwezi mchana

    Nasali mkuu ila naogopa natamani nipate walau mwanga kidogo wa maana ya hii ndoto
  3. L

    Kuota namulikwa na mwezi mchana

    Habari za siku mingi wakuu, Nina hii ndoto inanikosesha amani na sielewi ni nzuri au mbaya Nimetoa ni mchana ila kutazama juu nikaona mwezi ndio upo wakati natembea nikagundua mwanga ni mweupe wa mbalamwezi badala ya ule wa jua tuliouzoea na watu wakaanza kunikagua na kunishangaa nimemulikwa na...
  4. L

    Ushikaji mimba kwa mwanamke mrefu na mfupi

    Ametaka kushika Mimba ikashindikana? Wanawake tunazo njia za kuzuia kunasa Mimba kama bado hatujataka kuibeba hiyo Mimba hata kama tukienda kavu kavu
  5. L

    Kuombwa msaada mara kwa mara na hata na wasionifahamu

    Hiyo ni karama yako uliyopewa na Mungu kuwasaidia wengine cha msingi kuwa makini kuwasaidia wale wenye shida kweli Kutoa ni kuzuri mno wewe unawasaidia wengine hata kama hawatakusaidia pia ila Mungu atakupa msaada kwa namna ya tofauti usiache kutoa kwa ajili ya wenye uhitaji endelea ila tu uwe...
  6. L

    Kwanini wanaume mkimtaka mwanamke mnakuwa wanyenyekevu sana na mkishampata mnabadilika?

    Naongezea hapo wengine wanakua na maneno matamu sana mpaka mwanamke ana fall kwa jamaa then wanaanza visa kila kukicha tatizo Huwa liko wapi? Wanaume majibu tafadhali
  7. L

    Kina dada hivi ni deko au ni kweli huwa mnaumwa?

    Wapo wanaoumwa sana tu wanadai wenye michango mikali kuna rafiki yangu ilikua hadi analazwa kila mwezi na anakua anaumwa serious mpaka alipopewa dawa ya mchango ndio akapona Dawa ya mchango nayo ulinywa kubeba mimba ni nje nje
  8. L

    Rais Magufuli anaingia kwenye vita kali

    Maombi yanatakiwa kwa raisi wetu Mungu ampiganie maana yeye Mungu akiwa upande wake hakuna atakae kua juu yake
  9. L

    Tupia vesi ya wimbo wowote unaoukumbuka ukiwa shule ya msingi

    Maua mazuri yapendeza*2 Ukiyatazama yanameremeta Hakuna limoja lisilopendeza Zum zum zuu we mama nyukilia weee Toka mbali kutafuta UA zuri la chakula
  10. L

    Tupia vesi ya wimbo wowote unaoukumbuka ukiwa shule ya msingi

    Nasema kwa lugha halafu kwa kufikiri Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzania Majira yetu haya Yangekuaje sasa Utumwa wa nchi Nyerere ameukomesha
  11. L

    Ni aibu lakini hakuna jinsi

    Mwambie akae chini aongee na mchumba wake kuhusu hilo manake inawezekana huyo Dada kamuhisi jamaa ni mshiriki wa tigo kutokana na story labda alizowahi kusikia kuhusu watu waendao huko au huyo mdada ndio mshiriki wa tigo hivyo anamwambia kwa vitendo Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom