Recent content by Li_sang

  1. L

    Nilivyopata Demu Mzungu

    Hongera itapendeza mkiona kabisaa kuishi milele pamoja
  2. L

    Nabii GeoDavie: Biblia sio neno la Mungu bali ni maneno ya wanadamu

    Imeandikwa katika 2 Timotheo 3:16;Maandiko yote Matakatifu yameandikwa kwa uongozi wa Mungu, na yanafaa katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, na kuwaongoza watu waishi maisha adili,.
  3. L

    Ma brother wa miaka 35+ hebu tupeni wadogo zenu, ushauri wowote wa kuhusu maisha

    Lakini tangu mwanzo wa uumbaji, ‘Mungu aliwaumba mume na mke. 7 Na kwa sababu hii mume atamwacha baba yake na mama yake na hao wawili, watakuwa mwili mmoja.’ 8 Kwa hiyo hawatakuwa wawili tena bali mwili mmoja. 9 Basi, alichokiun ganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.”
  4. L

    Kwanini Yesu Kristo aliivunja Sabato? Sababu hizi hapa

    Asante Kwa ufafanuzi barikiwa
  5. L

    Ubongo Baada ya Kifo: Je, Bado Unawaza?

    Mimi nafikiri mtu anapokufa, anakuwa 'ni kama anastuka kutokea usingizini' na kuamka upande wa pili huko ambako Mimi sitamuona tena akiwa na mwili lakini nitaonana nae ndotoni labda..
  6. L

    Mtaani kuna Black-Mail system wanaume kuweni makini sana.

    😂😂😂 Kataa ndoa wamefikiwa!
  7. L

    Hapa ndio pa kuwa na pesa kama unamtaji!

    Asante Kwa ushauri
Back
Top Bottom