nahitaji pikipiki used yenye afadhali. Iwe :-
boxer bm150 au sanlg150 au TVS
bei:- around milioni 1. Isizidi sana
eneo:- Dar es salaam
e-mail:- lheysaid@gmail.com
KWA WATUMIAJI WA FACEBOOK Like page ya TANZANIA NEWS AND SPORTS na upate breaking news za kitaifa na michezo. page hii inahitaji like za watanzania ili iwe promoted. like @www.facebook.com/tanzanianewsandsports
kuna setting za "dock" pale unapobofya f2 wakati wa kurestart. ukishaziona hizo setting unaweza kudock then mambo yakaenda fresh, jaribu kuitumia hiyo. sorry kwa kuchelewa kujibu
mr.kicheko, motherboard kama ina matatizo unatakiwa ucheki function moja baada ya nyingine... kuanzia hard disc, processors na everything ,paka tatizo linaonekana
Washkaji msinichukulie nipo kinjaa.. sijawahi kumtengenezea mtu pc kwa hela... nimeweka neno gharama ili nipunguze idadi ya watakao nitafuta. kuhusu producer mimi ni producer pia... kipaji changu cha utengenezaji filamu kinaendana na sana na ujuzi wa computer... nipo sawa kwenye maswala yote...
Mimi ni mwanafunzi wa ifm hapa Dsm. Ninachukua bachelor ya computer science.
Ninatafuta kazi ya part time ktk ofisi yoyote inayohitaji urekebishwaji wa computer. Either kwenye maduka ya computer, ufundi wa computer na ofisi yoyote ile. Sijali kuhusu mshahara. Wowote utanitosha ili mradi niwe...
kwa wale wakazi wa Tabora mjini. Kuna duka la vipuri/spare za pikipiki za bei nafuu kuliko kawaida. Hili duka linauza kwa rejareja. Linaitwa yarabi salama autospares. Lipo mtaa wa mahakama ya mwanzo nyuma ya jengo kuu la ccm tabora.
Mimi ni mwanafunzi wa bachelor of Computer science. Ni mzima sana katika matatizo ya computer. Kifupi ni kwamba, sishindwi na tatizo lolote la computer. Kwa anayehitaji msaada wa kiufundi. Anitumie e-mail kwenye lheysaid@gmail.com sina gharama kubwa
NIKIWA KAMA PRODUCER NA DIRECTOR WA MOVIES, NAPENDA KUTANGAZA KUWA NATAFUTA WAIGIZAJI WENYE UWEZO WA KUIGIZA AMBAO HAWAJATOKA KISANAA NA WANA NDOTO ZA KUTOKA, WAJIUNGE NAMI KATIKA KUFANIKISHA NDOTO ZAO PAMOJA NA NDOTO ZA KAMPUNY YANGU AMBAYO NI CHANGA SANA. VIGEZO NI JITIHADA BINAFSI PAMOJA NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.