Kwa Tatizo lolote la Computer. Nione

Kwa Tatizo lolote la Computer. Nione

Lhey

Member
Joined
Jun 18, 2012
Posts
27
Reaction score
6
Mimi ni mwanafunzi wa bachelor of Computer science. Ni mzima sana katika matatizo ya computer. Kifupi ni kwamba, sishindwi na tatizo lolote la computer. Kwa anayehitaji msaada wa kiufundi. Anitumie e-mail kwenye lheysaid@gmail.com sina gharama kubwa
 
unaweza kutengeneza motherboard ya laptop ikiwa imezima kabisa?. kuna HP na Samsung.
 
aisee hili jukwaa linakoelekea,, neno pesa halikosi kwa sentensi
 
MIMI NINA SHIDA NA LAPTOP LAKINI SINA HELA!!,(najua hushindwi)
 
Mimi ni mwanafunzi wa bachelor of Computer science. Ni mzima sana katika matatizo ya computer. Kifupi ni kwamba, sishindwi na tatizo lolote la computer. Kwa anayehitaji msaada wa kiufundi. Anitumie e-mail kwenye lheysaid@gmail.com sina gharama kubwa
COMPUTER YANGU YA DELL 610, INA TATIZO HILI '' MANUFACTURING MODE: LEVEL '67'''''PRESS FN + X TO RETURN THE SYSTEM TO NORMAL MODE'. NIKI PRESS fn x haifanyi kazi badala yake inaniambia warning batterry is critically low hit F1 to continue niki bofya F1 inanipa massage hii, the computer is docked and only battery power is detected. this can happen if the power adopter is missing, the power cord is unplugged, or the computer is not well docked to the docking station. you should undock, redock, attach a power adapter, or plug in the power cord. strike the f1 key to shutdown. nikiibofya hakuna mabadiliko. Nadhani utatuwekea maujuzi ya kusolve hili tatizo humu jamvini.
 
huyu bwana Lhey mwanafunzi ametanguliza njaa, hili kosa kubwa sana Lhey toa msaada hapahapa, watu waone haja kukutafuta wenyewe

kibaya cha jitembeza kizuri hujiuza chenyewe! jibu hilo swali la dock, undock, anza kwa kuelezea dock, undock, redock, attach a power adapter, or plug in the power cord ni nini, ukifanya hivyo :yo:
 
COMPUTER YANGU YA DELL 610, INA TATIZO HILI '' MANUFACTURING MODE: LEVEL '67'''''PRESS FN + X TO RETURN THE SYSTEM TO NORMAL MODE'. NIKI PRESS fn x haifanyi kazi badala yake inaniambia warning batterry is critically low hit F1 to continue niki bofya F1 inanipa massage hii, the computer is docked and only battery power is detected. this can happen if the power adopter is missing, the power cord is unplugged, or the computer is not well docked to the docking station. you should undock, redock, attach a power adapter, or plug in the power cord. strike the f1 key to shutdown. nikiibofya hakuna mabadiliko. Nadhani utatuwekea maujuzi ya kusolve hili tatizo humu jamvini.

By Mr Kicheko
Hili tatizo hata mie limenitoa jasho maana nimeingia forums mbali mbali bila kupata ufumbuzi so nilichofanya ni kuigeuza spare ile pc ili kupunguza Hasara.
 
COMPUTER YANGU YA DELL 610, INA TATIZO HILI '' MANUFACTURING MODE: LEVEL '67'''''PRESS FN + X TO RETURN THE SYSTEM TO NORMAL MODE'. NIKI PRESS fn x haifanyi kazi badala yake inaniambia warning batterry is critically low hit F1 to continue niki bofya F1 inanipa massage hii, the computer is docked and only battery power is detected. this can happen if the power adopter is missing, the power cord is unplugged, or the computer is not well docked to the docking station. you should undock, redock, attach a power adapter, or plug in the power cord. strike the f1 key to shutdown. nikiibofya hakuna mabadiliko. Nadhani utatuwekea maujuzi ya kusolve hili tatizo humu jamvini.

How I solved it : I downloaded the BIOS from Intel site. Put it on flash drive. changed the jumper setting of the motherboard to recovery and flashed my bios. and things went back to normal. HOWEVER I CONSIDER IT VERY RISKY , THE COMPUTER WILL BECOME UNUSABLE IF BIOS FLASHING FAILS . DO IT AT YOUR OWN RISK


OR

Plug the charger in.

On start up keep tapping either F1, F2, F10,(Be Aware that some manufacturers use F10 for system recovery!) Esc, or Del, to enter the BIOS set-up. Look for "Factory Default" or similar, and return the settings to default. Save settings and exit.

Unplug, remove the battery and press the power button for 10 seconds.
Restart.

Go to Dell support* and download/install the correct new BIOS version (flash the BIOS).

http://support.dell.com/support/download…
 

how i solved it : I downloaded the bios from intel site. Put it on flash drive. Changed the jumper setting of the motherboard to recovery and flashed my bios. And things went back to normal. However i consider it very risky , the computer will become unusable if bios flashing fails . Do it at your own risk


or

plug the charger in.

On start up keep tapping either f1, f2, f10,(be aware that some manufacturers use f10 for system recovery!) esc, or del, to enter the bios set-up. Look for "factory default" or similar, and return the settings to default. Save settings and exit.

Unplug, remove the battery and press the power button for 10 seconds.
Restart.

Go to dell support* and download/install the correct new bios version (flash the bios).

http://support.dell.com/support/download…

mkuu njia zote hizo nilizipitia kabla lakini hazikufaa kitu ndiyo maana nilipokosa solution nikaigeuza ile computer kuwa spare, sema nilitaka kujua ujuzi wa huyu mtaalam wetu bingwa wa pc but kasepa kiaina aisee
 
huyu mkuu kaweka tangazo jukwaa la Matangazo kuwa ni producer anatafuta waigizaji.... Mods ebu mwangalieni huyu mtu kwa jicho la 3
 
mkuu njia zote hizo nilizipitia kabla lakini hazikufaa kitu ndiyo maana nilipokosa solution nikaigeuza ile computer kuwa spare, sema nilitaka kujua ujuzi wa huyu mtaalam wetu bingwa wa pc but kasepa kiaina aisee

The computer will become unusable if bios flashing fails .
 
hilo swala ni dogo. fanya mchakato tuonane
 
Washkaji msinichukulie nipo kinjaa.. sijawahi kumtengenezea mtu pc kwa hela... nimeweka neno gharama ili nipunguze idadi ya watakao nitafuta. kuhusu producer mimi ni producer pia... kipaji changu cha utengenezaji filamu kinaendana na sana na ujuzi wa computer... nipo sawa kwenye maswala yote yote,.... msimichukulie kinjaa njaa
 
mr.kicheko, motherboard kama ina matatizo unatakiwa ucheki function moja baada ya nyingine... kuanzia hard disc, processors na everything ,paka tatizo linaonekana
 
COMPUTER YANGU YA DELL 610, INA TATIZO HILI '' MANUFACTURING MODE: LEVEL '67'''''PRESS FN + X TO RETURN THE SYSTEM TO NORMAL MODE'. NIKI PRESS fn x haifanyi kazi badala yake inaniambia warning batterry is critically low hit F1 to continue niki bofya F1 inanipa massage hii, the computer is docked and only battery power is detected. this can happen if the power adopter is missing, the power cord is unplugged, or the computer is not well docked to the docking station. you should undock, redock, attach a power adapter, or plug in the power cord. strike the f1 key to shutdown. nikiibofya hakuna mabadiliko. Nadhani utatuwekea maujuzi ya kusolve hili tatizo humu jamvini.
kuna setting za "dock" pale unapobofya f2 wakati wa kurestart. ukishaziona hizo setting unaweza kudock then mambo yakaenda fresh, jaribu kuitumia hiyo. sorry kwa kuchelewa kujibu
 
kuna setting za "dock" pale unapobofya f2 wakati wa kurestart. ukishaziona hizo setting unaweza kudock then mambo yakaenda fresh, jaribu kuitumia hiyo. sorry kwa kuchelewa kujibu

Maelezo hayajitoshelezi maana pc ikishafikia hatua hiyo hiyo f2 haikubali.
 
Back
Top Bottom