CHIEF MVUNGI
Member
- Apr 6, 2012
- 99
- 14
kiungo mkabaji wa chelsea mghana Michael Essien anatarajia kutua Emirates kwa mkopo saa chache zijazo kama mambo yatakwenda sawa
kiungo mkabaji wa chelsea mghana Michael Essien anatarajia kutua Emirates kwa mkopo saa chache zijazo kama mambo yatakwenda sawa
Essien yupo Spain akizungumza na Real Madrid.
Chelsea hawawezi kumuachia Essien aende Arsenal ni kwasababu za kiufundi..
Michael Essien amesaini mkataba wa kuichezea Real Madrid kwa mkopo wa msimu mmoja.
Wakati huohuo ile klabu yenye mafanikio zaidi katika soka hapa nawazungumzia Rosoneli ama red & black ama AC Milan wamefanikiwa kumsajili Dikteta wa Kiungo Generali Nigel De Jong...
Forza Milan
Arsenal na ubahili wao, wanachukua magalasa. Yaani huyo dingi Essien ndio anategemewa kuchukua ya kijana Song?
Nadhani Wenger ameamua kucheza kamari, nina wasiwasi muda wa Mzee Wenger kubaki Emirates unahesabika, akifaulu kuifanya Arsenal kuwa bingwa EPL nitaamini kuwa kweli Wenger ni Proffesor.
Arsenal na ubahili wao, wanachukua magalasa. Yaani huyo dingi Essien ndio anategemewa kuchukua ya kijana Song?
Nadhani Wenger ameamua kucheza kamari, nina wasiwasi muda wa Mzee Wenger kubaki Emirates unahesabika, akifaulu kuifanya Arsenal kuwa bingwa EPL nitaamini kuwa kweli Wenger ni Proffesor.
Kashaisha huyo Essien hana lolote nafuu asajiriwe na Simba ili kufuta machozi ya Twite
kiungo mkabaji wa chelsea mghana Michael Essien anatarajia kutua Emirates kwa mkopo saa chache zijazo kama mambo yatakwenda sawa