Asalam Aleykum wanabodi.
Nimekutana na mkasa wa kusikutisha kidogo, wakati Mhe. Rais anawaambia watanzania watembee kifua mbele, hali ni tofauti sana.
Kuna watendaji wa mashirika ya umma wanapiga dili kwa kasi ya ajabu.
Ile kauli ya mhe Rais aliyosema "Kata umeme" mameneja wa Tanesco...
Najua hapa haisaidii lolote maana mke wangu hayupo humu ila nimeandika wanawake wenye tabia kama hii waache.
Kwa namna moja najaribu kusaidia jamii yangu kupitia andiko hili
Unadhani kila mtu akiamua kufanya mambo yake yeye kama yeye humu jf kuna mada italetwa?
Ndio maana jf ni darasa na jf ni...
Acha kuleta weak arguments, wapi nimesema wanawake wote?
We kubali kataa hili ni tatizo jipya limejitokeza kama kwako halipo basi kwa baadhi ya ndugu zako lipo.
Ukinuna sawa ila huo ndio ukweli, kuna wanawake wengine ni hovyo mno.
Nimesema mno, mpaka kwa friends zangu naona huu ugonjwa upo karibia sehemu nyingi kwa sasa.
Kama kwako hakuna hili tatizo shukuru Mungu, jaribu kutembea nyumba mbili tatu utapata majibu.
Hapa JF kuna watanzania wengi sana lazima niwambie wajue na wachukue tahadhari, Sharing is caring
Mkuu nimeshaongea nae mno lakini wapiiii
Ataacha leo kesho mafuta kedekede.
Sasa napata hasira kugombana na mke wangu kisa jambo dogo kama hili, yaani ni jambo dogo mno lakini mwenzangu haelewi kabisaaa.
Jamani kuna jambo linanikera kwelikweli,
Kuna kasumba imeota mizizi kwa sasa, sijui niseme wanawake hawajui kupika au wanadhani wanaume tunapenda mafuta sana.
Hii tabia ya kumwaga mafuta kwenye chakula ni tabia ya hovyo mno, mtu unatoka mishe mishe una njaa unafika home unajisemea kimoyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.