makuchei kumbe naww hili umeliona? humu Jf kuna watu wenye akili robo wanakandia topic za wengine kama umeona topic haikuhusu kwann uandike makandio ya kipuuz mtu akiamua kufanya Yake ww haikuhusu kupinda Wa kukandia wanaboa sana wasomi nchwala wenye tabia kama hizo
humu Jf kuna degree nyigi za unafiki na umbea mtu akitoa lake la moyon kama halikuhusu lipotezee wapo wahusika samahan kama limekuganda kiunon ww mwenye hisia kipolo za kuponda jumbe za watu utajibeba
wakusoma hukupaswa kupost hizo yeboyebo zako mgando watu tunahitaji ufumbuz Wa matatizo yetu we unaleta mambo ya mabasha ushazoea kubashiwa nn? acha mawazo mgando we msomi
ndio maana ukambiwa kama ww ni mwanamke huon huo ni muasho unakusumbua we mwanaume unakimbilia kupost mada isiyo kuhusu hii ni kwa wanawake tu au mwenzetu sio riziki ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.