Natafuta Mume

Natafuta Mume

Usivunjike moyo mrembo.... Age aint nothing but a number.. Ukipata opportunity grab it and embrace it,watu wanaolewa wana miaka 50+ itakuwa wewe..?!!... Tena ukipata wa ukweli,mtadumu...ila mara nyingi utakuta ana mtoto au alishawahi kuoa akaacha.
 
Nimesoma maswali na majibu yenu kwa kina, na imenichukua muda kidogo kufikiri majibu yangu. Ninaendelea kufikiri kidogo ile nije na hoja na mapendekezo ambayo kutokana na mang'amuzi yangu nadhani yatasaidia kwa kiwango kikubwa kupunguza maambukizo ya VVU. Kwa wale mnaokumbuka nilikuwa na mapendekezo matano kwa serikali ya Kikwete, nimeshatoa mawili (Makazi) na lile la Polisi. Pendekezo jingine ni hili la UKIMWI. Nitabandika hoja zangu mwishoni mwa wiki baada ya kuzifikiri kwa kina.[/QUOTE
kazi kweli
 
sifa za huyo mume

sifa za mume


- miaka kuanzia 39 -55
-mfanyabiashara au mfanyakazi
-mkristo mcha mungu
-anaishi dar
-elimu kidato cha nne hadi phd
-mrefu kiasi mweusi na mnene kiasi
- asiwe tegemezi

sifa zangu

-miaka 38
- nimejiajili
-mnene kiasi
-mweupe kiasi
-bachelor degree
-najiheshimu najiamini na nimcha mungu

angalizo'tafadhari nitumie email kama kweli unania tuu email za majaribu sitazipenda na ustaarabu ni kitu kizuri!email ni
faithcolly76@gmail.com email zote zitajibiwa.:A S wink:

huolewi umri umeenda ulichezea usichana
 
sifa za huyo mume

sifa za mume


- miaka kuanzia 39 -55
-mfanyabiashara au mfanyakazi
-mkristo mcha mungu
-anaishi dar
-elimu kidato cha nne hadi phd
-mrefu kiasi mweusi na mnene kiasi
- asiwe tegemezi

sifa zangu

-miaka 38
- nimejiajili
-mnene kiasi
-mweupe kiasi
-bachelor degree
-najiheshimu najiamini na nimcha mungu

angalizo'tafadhari nitumie email kama kweli unania tuu email za majaribu sitazipenda na ustaarabu ni kitu kizuri!email ni
faithcolly76@gmail.com email zote zitajibiwa.:A S wink:

Hujatimiza sifa, weka picha hapa tuone!
 
sifa za huyo mume

sifa za mume


- miaka kuanzia 39 -55
-mfanyabiashara au mfanyakazi
-mkristo mcha mungu
-anaishi dar
-elimu kidato cha nne hadi phd
-mrefu kiasi mweusi na mnene kiasi
- asiwe tegemezi

sifa zangu

-miaka 38
- nimejiajili
-mnene kiasi
-mweupe kiasi
-bachelor degree
-najiheshimu najiamini na nimcha mungu

angalizo'tafadhari nitumie email kama kweli unania tuu email za majaribu sitazipenda na ustaarabu ni kitu kizuri!email ni
faithcolly76@gmail.com email zote zitajibiwa.:a s wink:

umesomeka wangu ila kabla ya yote jeee umeolewa na je umeshazaa au ndio upo kwenye kufanya utafiti?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom