Tuko nae till the end...Mungu anakusudi na huyu mzee.Saa ya ukombozi imewadia.Misukosuko aliopitia huyu mzee ina hatima njema.Mungu sio dharimu na wala hadhihakiwi.
Ambae hana dhambi awe wa1 kumpiga mawe lowasa.Ni mtanzania kama ulivo wewe...anahaki zote kama ulivowewe na zaidi ya hapo anawafuasi ambao ndio mtaji kisiasa kuliko wewe.Kama ni mapungufu hata wewe unayo ni Mungu tu anakufichia siri.Chadema bebeni huyu jamaa ni karata dume.Aliebarikiwa...
Ishu sio kuwahi kuamka ila ishu unapoamka mapema asubui unaenda wapi kufanya mini sio kurandaranda eti unajilinganisha na ndege.Mipango na mikakati ya namna ya kufanya jambo flani ndo kinachotakiwa.Tuliza akili panga vitu ingia kwenye utekelezaji.Binadam na ndege wapi na wapi.wao wanachotafuta...
Tiss ninavowajua mm kazi yao ni kudili na wagombea tu.wako bize na siasa but not security affairs. Security inatakiwa kucover maeneo yote ambayo ni social, economical na political security ila hapa bongo hawa jamaa utakuta wako bize kufatilia mikutano ya chadema na kuizuia ila sio kufatilia...
Mainjinia wa bongo ni wapigaji na kazi wanazofanya bora hata Fundi wa mtaani
Kingereza kireeefu kumbe anamanisha tofari.kaka hiyo hela ni nyingi Sana ilimtadi usijenge gorofa na ubishoo usio na maana.Nunua material mwenyewe na usimamie kazi we mwenyewe.usiweke kijimtu kinajiita consultant...
Bila kubadili culture ya wachanga mji wa moshi hauwezi kuwa na hata hotel kubwa za level ya 5*.Tatizo wachaga ni wakabila sana when it comes to land.Hawako tayari mtu atoke huko aje afanye investment kwenye eneo lao.Wako radhi watembee na kandambili miguuni kuliko kuuza kipande cha ardhi tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.