Kwa kawaida bloggers wengi duniani ikiwemo wamiliki wa JF utafuta mfumo mzuri wa ku copyright kazi zao hasa picha zao za kipekee. Sasa bloggers wa Tanzania wamekuja na mfumo mmoja wa kijinga sana. Nao ni kubandika LOGO kubwa katikati ya picha zao. Wao kwa uelewa wanadhani wanalinda kazi zao eti atakayecopy akaweka kwao itaonekana amekocopy hivyo atakuwa amewatangaza au wanaweza kumshtaki kwa kutumia kazi zao bila kutoa credit. Issue ya kijinga sana.
Hasara kubwa ya kuweka ma logo kama hayo ni kuwa hakuna njia bora na ya kudumu ya kutunza file/picha husika kama online. Kwa hiyo wanapoweka picha hizo online katika blog zao ni kwa faida ya wao wenyewe na vizazi vijavyo maana, katika PC au laptop ndani ya miaka minne hawawezi kuwa na picha husika.
Nawapongeza bloggers wanaweka logo zao kwa chini kama wafanyavyo AFP/REUTER nk au za kufifia kama JF.
Tazama hawa ndugu zetu;
Hasara kubwa ya kuweka ma logo kama hayo ni kuwa hakuna njia bora na ya kudumu ya kutunza file/picha husika kama online. Kwa hiyo wanapoweka picha hizo online katika blog zao ni kwa faida ya wao wenyewe na vizazi vijavyo maana, katika PC au laptop ndani ya miaka minne hawawezi kuwa na picha husika.
Nawapongeza bloggers wanaweka logo zao kwa chini kama wafanyavyo AFP/REUTER nk au za kufifia kama JF.
Tazama hawa ndugu zetu;