STDVII
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 1,629
- 691
Mkuu upepo umebadilika imewachukua muda mrefu CCM kumkabili Lowasa na kuweza kumvua Gamba.
CDM sio kanisa ni chama cha Siasa, Lowasa ni Fisadi tu hafai nimesema narudia tena kama mnataka Pesa zake mchukueni.
Kwa nini anatumia nguvu kubwa kutafuta lkulu?
CDM sio kanisa ni chama cha Siasa, Lowasa ni Fisadi tu hafai nimesema narudia tena kama mnataka Pesa zake mchukueni.
Kwa nini anatumia nguvu kubwa kutafuta lkulu?
Kwa maana hiyo Lowasa hatakiwi tena kuhesabiwa ni Mtanzania? Amepoteza haki zake za uraia wa kushiriki maendeleo ya nchi kama raia wa kawaida? Kwamba CHADEMA NI CHAMA DHAIFU SANA HAKIWEZI KUMLEA NA KUMFANYA ABADILIKE KUTOKA UFISADI KWENDA UTANZANIA? Au kwa vile ccm imeshindwa unadhan Watanzania wote hawana uwezo wa kuwabadilisha watu?
Kwa sababu baada ya October, mafirauni wote walioko ndani na nje ya ccm watalazimika kubadilika na kutii sera na kanuni za UKaWA wapende wasipende. Watalazimika kuwa raia wema na hawatapata nafasi ya kutamba na ufirauni wanaodhani unatamalaki milele.
Ccm kwa kuwa hiawezi kubadilisha lolote huwa inawaua wanaokwenda kinyume nayo, lakini UKAWA, ninaamini hawana imani hiyo, wao ni watengenezaji nawarekebishaji wa watu kwa maslahi ya taifa.