Recent content by Lets Share

  1. Lets Share

    JamiiForums Tanzania Martin Maranja Masese mchango wake kwenye kesi ya Mbowe, hautasaulika

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1544][emoji1544]
  2. Lets Share

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hii story ina utata sana kwa form three kuwa expert wa kiwango hicho. Hatutegemei form 3 kuzidi miaka 19, ni ngumu sana kuwa na uzoefu huo uliokuwa nao wewe
  3. Lets Share

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    [emoji1666][emoji1666][emoji1666]
  4. Lets Share

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tujifunze ni Vitu gani viwepo Geto vya kumdatisha Mdada ili arudi tena?

    [emoji1666][emoji1666]
  5. Lets Share

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa majibu haya huyu mtu ni positive au negative

    Huyo ni negative, hapo imetokea mistari miwili, mmoja umefifia kwa sababu amekiacha kifaa kwa muda mrefu. Majibu sahihi ni nadani ya dakika 15 tu. Ukikiacha kwa muda mrefu kinaleta mistari miwili kama hapo juu
  6. Lets Share

    JamiiForums Tanzania Nikki wa Pili ndio msanii/celebrity bora Tanzania kwa miaka 30 iliyopita

    Baaasi jamaa ndio ajira yake kumsifia Nikki wa Pili. Sasa alete sifa za ukweli. Niki ni genius kwa kipi lakini mbona ni kichwa panzi tu..??
  7. Lets Share

    JamiiForums Tanzania Nikki wa Pili ndio msanii/celebrity bora Tanzania kwa miaka 30 iliyopita

    [emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666] na ndio aliyewafanya wasanii wa kizazi kipya waaminike kwa level za uongozi na uwakilishi..
  8. Lets Share

    JamiiForums Tanzania Nikki wa Pili ndio msanii/celebrity bora Tanzania kwa miaka 30 iliyopita

    Daaah jamaa ni mtu wa kawaida mno, yani sifa ulizompa ni uharo mtupu. Akili nyingi ..?? Are you serious..?? Akili nyingi umezipima wapi..?? Mara mia nimpe Nay wa Mitego (True boy) ila sio huyu Nikki wa Pili kazi kujiona na kujitangaza eti yeye ni msomi mara anasoma sana vitabu blaah blaah kibao
  9. Lets Share

    JamiiForums Tanzania Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) chamsimamisha Mhadhiri kwa tuhuma za ngono

    Mkuu wewe acha tu yani kuna muda huwa naanza kuamini kwenye miti hakuna wajenzi mtu ana accessories za msingi ila anashindwa kuzitumia
  10. Lets Share

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwenye mapenzi hivi vitu viwili havifundishiki

    Sahihi kabisa mkuu [emoji1666][emoji1666][emoji1666]
  11. Lets Share

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mchumba 'Mwanamke ' - anayeishi Mbeya

    Ni kweli kabisa atakosa vingine ila sio tako
  12. Lets Share

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Guys be like "Nina kazi nzuri, Gari, Nyumba, Pesa lakini sipati Mke"

    Many men will find this as new thing but it’s very true, Simply you have written the brain. Vijana wahuni wa mtaa hawana hela na wanagombaniwa na warembo.. Gari, pesa na nyumba ni vitu muhimu ila sio vya lazima kumvutia mwanamke.. Huwezi kutembea na nyumba wala hela zako zote na pia sio lazima...
  13. Lets Share

    JamiiForums Tanzania Utatu wa Dkt. Magufuli, Eng. Kijazi na Eng. Mfugale katika ujenzi wa barabara nchi nzima tutaukumbuka milele

    Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni jamaa wamefanya kazi nzuri sana ya usimamizi wa matumizi ya kodi za wananchi
  14. Lets Share

    JamiiForums Tanzania Ni kipindi gani kigumu ulishawahi kupitia ambacho kilikupa hasira ya kutafuta pesa kwa nguvu?

    [emoji1544][emoji1544][emoji1544] mkuu wewe ni mpambanaji wa ukweli
  15. Lets Share

    JamiiForums Tanzania Tovuti za ngono hazijafungiwa Tanzania

    Tunaomba serikali iruhusu websites za ngono za kibongo kuanzishwa na kutambulika rasmi.. Yani tuwe na Industry ya pornography Tanzania..
Back
Top Bottom