Recent content by LET US READ

  1. L

    LAPF wanaita oral interview Dodoma

    Jukwaa Zima hakuna aliyeitwa? Au ndo yale yale cause kwenye comments za mwanzoni Kuna mtu alisema Kuna jamaa yake ameitwa kwenye oral but kwenye written interview hakuitwa! !!!!!!
  2. L

    Mgombea Urais kupitia ACT hajui kipaumbele chake! hajui kwann anataka kuwa rais

    Hakuna mgombea aliyeeleza vipaumbele vyake leo cause angeonekana anafanya kampeni kabla ya wakati. Na kuhusu fomu ya ubunge amesema hatua zitafuatwa. Nothing wrong alichofanya
  3. L

    A day in the Buddhist college

    Conversation iko poa sana. Inapendeza Sana kujua vitu vingi. Thanks for sharing
  4. L

    Je, kuna madhara ya kunywea dawa na maji ya baridi?

    Hi JF doctors. Mara nyingi nimekuwa nikiambiwa siruhusiwi kunywa dawa Kwa maji baridi but sijawahi kujua reason behind. Mwenye uelewa wa hili naomba majibu.
  5. L

    Kaka ameniachia mtego mkali sana, baada ya yeye kufariki

    Sidhani kama itakuwa busara kutembea nae cause watu wote watajua ulikuwa unamtetea ili upate wewe hizo Mali. As far as umeshaona dalili zote ni vizuri mkayazungumza na consequences zake ziwekwe hadharani. Ukishaanza mahusiano ya kimapenzi and mkaja kutofautiana atakosa pa kukimbilia
  6. L

    Hivi kinachoitwa MFUMO ni kitu gani?

    Mada nzuri Sana. Naamini Dr Slaa ni mzuri zaidi ya Lowassa. Ni kweli Lowassa ana mtaji wa watu lakini kutuaminisha kwamba Lowassa ni presidential material bado.
Back
Top Bottom