Wakikupa miezi 6 au Mwaka kama fidia naomba tafadhali aidha ununue boti au ukajifunze kuogelea.
Hiyo fidia ya kupewa miezi mingine ya kuishi kwenye 'SWIMING POOL' nadhani itapendeza.
Mada fikirishi sana hii... Mleta mada kama nilivyomuelewa hajazungumzia umasikini kipato bali umasikini wa roho.
Mtu hata kama ni ana mali nyingi kama ni masikini wa roho haoni tabu uwezo wake kuwa anguko la wengine. Nawafahamu matajiri wengi wengi waliofariki wakiwa hawana mali zozote na wapo...
Mungu amtie nguvu. Hii dunia ukiamka salama na kurejea kwako salama mshukuru sana Mwenyezi Mungu.
Inasikitisha sana kumpotezea mwenzio utaratibu wa maisha yake kwa miaka 18. Dah!
Kutoka mataa ya nyerere road-sekou toure- Isamilo(mji mwema) mpaka Kilimahewa big bite barabara ina taa za barabarani za sola. Nadhan ni kwa baadhi ya maeneo na sio Mwanza yote ni giza.
Nazungumzia uzoefu na hata leo nimepita njia hiyo nikirejea nyumbani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.