bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 757
- 1,020
Naomba mwenye uelewa atuelezee juu ya hili la maiti kutangulizwa kichwa inapoingizwa nyumbani tofauti na kanisani(Anglican) ambapo miguu hutangulia?
Assumptions kama akisimama aone alikotoka nje, kanisani anatakiwa akisimama aonane na Utukufu....Naomba mwenye uelewa atuelezee juu ya hili la maiti kutangulizwa kichwa inapoingizwa nyumbani tofauti na kanisani(Anglican) ambapo miguu hutangulia?
Mambo Ni mengi muda mchache!Mimi ndo nimeskia kwako!
Nilidhan corona pekee ndo ajabu 2020 kumbe na hili tena
Thanks kwa mawazo!Assumptions kama akisimama aone alikotoka nje, kanisani anatakiwa akisimama aonane na Utukufu....
🤔Assumptions kama akisimama aone alikotoka nje, kanisani anatakiwa akisimama aonane na Utukufu....
Sorry, ni ujinga tu wa imani za kishirikina zisizo na scientific backing. Wote huo ni woga wa mwanadamu wa kifo! A dead body is a manure in the making ready for nutrient circulation...Naomba mwenye uelewa atuelezee juu ya hili la maiti kutangulizwa kichwa inapoingizwa nyumbani tofauti na kanisani(Anglican) ambapo miguu hutangulia?
Hivi hapa umeongea nini? Sijui kama unaelewekaNi utaratibu tu ambao watu hujiwekea ili wajitofautishe na wengine hususani katika jambo ambalo linafanywa na watu tofauti tofauti
kwaiyo kila mtu hubuni aina yake ya upekee katika kulitekeleza jambo ili kuweza kujitofautisha na wengine ambao nao wana desturi ya kufanya hilo jambo...
imaniNaomba mwenye uelewa atuelezee juu ya hili la maiti kutangulizwa kichwa inapoingizwa nyumbani tofauti na kanisani(Anglican) ambapo miguu hutangulia?
mtu amekufa amekufaNaomba mwenye uelewa atuelezee juu ya hili la maiti kutangulizwa kichwa inapoingizwa nyumbani tofauti na kanisani(Anglican) ambapo miguu hutangulia?