Recent content by LessKnown

  1. L

    Hizi ndizo silaha hatari ambazo Mchina kazionyesha kwenye gwaride lake! Wachambuzi mpo!

    Hapana. The world is not fair. Ukiwa na uchumi mkubwa lazima ujilinde vizuri, ukizubaa vibaka wanakupora na kutokomea gizani. Hizi display ni ujmbe kwamba vibaka msisogee mtakufa!
  2. L

    GE2025 Picha: Magari ya wanaCCM yakiwa na rangi za kijeshi kama magari ya kivita kinyume na utaratibu

    Inawezekana tunatawaliwa kijeshi hatujui, wameamua kutuweka wazi
  3. L

    Kwanini Mwendokasi (BRT) wasiachane na magari ya mafuta au gesi wakachukua city bus za umeme mfano Yutong E18.

    𝚂𝚑𝚒𝚍𝚊 𝚢𝚎𝚝𝚞 𝚜𝚒𝚢𝚘 𝚔𝚞𝚋𝚞𝚗𝚒 𝚗𝚊 𝚔𝚞𝚊𝚗𝚣𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚖𝚒𝚛𝚊𝚍𝚒, 𝚋𝚊𝚕𝚒 𝚔𝚞𝚒𝚜𝚒𝚖𝚊𝚖𝚒𝚊 𝚒𝚕𝚎𝚝𝚎 𝚖𝚊𝚝𝚘𝚔𝚎𝚘 𝚢𝚊𝚕𝚒𝚢𝚘𝚔𝚞𝚜𝚞𝚍𝚒𝚠𝚊. 𝙷𝚞𝚠𝚎𝚣𝚒 𝚔𝚞𝚠𝚎𝚔𝚎𝚣𝚊 𝚖𝚊𝚋𝚒𝚕𝚒𝚘𝚗𝚒 𝚢𝚊 𝚜𝚑 𝚔𝚠𝚎𝚗𝚢𝚎 𝚞𝚓𝚎𝚗𝚣𝚒 𝚠𝚊 𝚋𝚊𝚛𝚊 𝚋𝚊𝚛𝚊 𝚑𝚊𝚕𝚊𝚏𝚞 𝚞𝚔𝚊𝚜𝚑𝚒𝚗𝚍𝚠𝚊 𝚔𝚞𝚜𝚒𝚖𝚊𝚖𝚒𝚊 𝚞𝚎𝚗𝚍𝚎𝚜𝚑𝚊𝚓𝚒 𝚠𝚊 𝚖𝚛𝚊𝚍𝚒. 𝚂𝚎𝚛𝚒𝚔𝚊𝚕𝚒 𝚒𝚛𝚞𝚑𝚞𝚜𝚞 𝚠𝚊𝚠𝚎𝚔𝚎𝚣𝚊𝚓𝚒 𝚋𝚒𝚗𝚊𝚏𝚜𝚒 𝚝𝚑𝚎𝚗 𝚢𝚎𝚗𝚢𝚎𝚠𝚎 𝚒𝚔𝚞𝚜𝚊𝚗𝚢𝚎 𝚔𝚘𝚍𝚒 𝚒𝚝𝚘𝚔𝚊𝚗𝚊𝚢𝚘 𝚗𝚊 𝚖𝚊𝚙𝚊𝚝𝚘 𝚢𝚊 𝚋𝚊𝚛𝚊 𝚋𝚊𝚛𝚊...
  4. L

    Kimara inaharibu taswira ya jiji la Dar, serikali haioni hii aibu?

    Kwa utaratibu tulio nao wa kila mtu kujijengea kiota chake, ni vigumu sana kuweka standard za majengo na kuupangilia mji. Ni lazima mji upangwe kwa plan nzuri na ujenzi utekelezwe na serikali kupitia wakandarasi wabobevu, then wananchi tupangishwe au kuuziwa
  5. L

    Ninachoona kwenye Parade ya China Aisee! Kama taifa na bara tupo nyuma sana

    Angalia hizi hapa. https://youtu.be/dOajNne180Q?si=B_JKcyIMUvgQ2PrL
  6. L

    Ninachoona kwenye Parade ya China Aisee! Kama taifa na bara tupo nyuma sana

    Oooh, utashangaa jamaa walivyowekeza huko baharini na nchi kavu
  7. L

    Tetesi: Yawezekana Ndani ya mwezi wa Tisa 2025 Jamaa anaachiwa Huru

    Kwa mtu anayejitambua na kufahamu umuhimu wa mtu kichwa kama TAL hawezi kumuweka ndani/kifungoni. TAL ni miongoni mwa watu wanaipenda sana nchi yetu na watu wake. Hapendi uonevu, dhuluma, ufisadi, unyanyasaji na kutokuzingatiwa kwa HAKI, SHERIA na kanuni ambazo zinaleta AMANI kwenye nchi yetu.
  8. L

    Ninachoona kwenye Parade ya China Aisee! Kama taifa na bara tupo nyuma sana

    Kuna projects zinaitwa "Mega structures" za China ukiziangalia, check youtube, unaweza kulia. Wachina wako mbali sana, hata marekani na ulaya wanakubali wenyewe kwamba jamaa wapo mbali. Sisi kama taifa hatujaweka sera/mfumo mkakati wa kitaifa ili tuweze kuwapata viongozi wanaoweza kutimiza ndoto...
  9. L

    Ninachoona kwenye Parade ya China Aisee! Kama taifa na bara tupo nyuma sana

    Da, ila tz tuna safari ndefu sana. Unawezaje kumfunga mtu kichwa kama TAL halafu mafisadi wanatamba uraiani!
  10. L

    GE2025 Makada: CHAUMMA hawana tofauti na CCM ni Wezi tu, tunarudi CHADEMA

    Kwani hawa wao hawataki kugombea nafasi za uongozi kwenye uchaguzi huu!? Maana CHADEMA hawashiriki uchaguzi wa mwaka huu
  11. L

    Polepole anachofanya ni kuwachonganisha Wanamtandao na Usalama wa Taifa na jeshi. Usalama wao utakuwa mdogo siku zijazo; wao na familia zao

    Ukiona hivyo ujue mifumo haifanyi kazi, watu wameamua kuweka mambo wazi ili mifumo ijitathimini na kuweka mambo sawa. Kama kuna watu wachache wananufaika na rasilimali za nchi zaidi ya wengine, ni vema wakawekwa wazi ili kila mtu ajue kwa nini kama taifa hatuendelei na hatua zichukuliwe kuwadhibiti
  12. L

    Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

    Ngozi nyeusi kwa nyeupe ni kama mbwa na chatu
  13. L

    GE2025 Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu yaahirishwa hadi 18 Agosti 2025

    Hawakuwa na namna ya kujibu hoja za Lissu ikaonekana njia rahisi ni kumfungulia kesi ya uhaini ambayo haina dhamana ili aendelee kupigwa dana dana mahakamani akiwa nje ya siasa hadi uchaguzi upite.
Back
Top Bottom