Recent content by lesere

  1. lesere

    Kenya na Tanzania, Issue ya utalii

    Watanzania tumepigwa na butwaa kubwa baada ya Kenya kuzuia magari yetu kufika kwenye viwanja vyao kupokea wageni wanaokuja na kutokea Tanzania.Wengi tumekimbilia kulaumu na hata kumpandishia Nyalandu na viongozi wengine wa chama tawala na serikali kwa ujumla na hta kufikia hatua pia ya...
  2. lesere

    WAKENYA TUSIWALAUMU;tuangalie policy na mengineyo.

    Watanzania tumepigwa na butwaa kubwa baada ya Kenya kuzuia magari yetu kufika kwenye viwanja vyao kupokea wageni wanaokuja na kutokea Tanzania.Wengi tumekimbilia kulaumu na hata kumpandishia Nyalandu na viongozi wengine wa chama tawala na serikali kwa ujumla na hta kufikia hatua pia ya kutaka...
  3. lesere

    SCI Internal Job Bulletin 18/06/2014

    nimekupm asee,niekee kwenye pm
  4. lesere

    Ruby!!ruby.natafuta soko

    mrangi,angalia PM
  5. lesere

    Ruby!!ruby.natafuta soko

    bategereza,I DONT MAKE JOKES INTO WHAT GIVES ME A LIVING,AM NOT OF THAT KIND..THATS WHY I BROUGHT THE ISSUE HERE.I know what am talking about and for the guys walioko Longido,ni issue ya kawaida sana kg na bloks kuwepo.
  6. lesere

    Ruby!!ruby.natafuta soko

    mrangi..ni ya Longido.
  7. lesere

    Ruby!!ruby.natafuta soko

    Ruby ya longido na maelezo niliyoyatoa ni ya kweli.
  8. lesere

    Ruby!!ruby.natafuta soko

    mrangi,Ni ya Longido
  9. lesere

    Ruby!!ruby.natafuta soko

    Habari wana bodi Mimi ni mkazi wa Arusha.Natafuta soko la Ruby,pure Ruby ya kiwango cha juu.mfafanuo wake uko hivi Block 100kgs kapishon 20kg sociate tani 20. kwa yeyote ambaye ni mnunuzi au anamjua mnunuzi tafadhali ni pm au acha comment nitakujibu. Ahsante.
  10. lesere

    Ruby!!ruby.natafuta soko

    Habari wana Bodi.Mimi ni mkazi wa Arusha na ninatafuta Soko la RUBY.Its a pure Ruby na ya kiwango kikubwa iko kwenye mfafanuo kama ifuatavyo; Block 100 kgs Kapishon 20 kgs Sociate 20 tonnes. Tafadhali kama kuna mnunuzi yuko tayari kwa ajili ya biashara,anipm au just comment below the alert afu...
  11. lesere

    Waraka wa UAMSHO unaochochea machafuko Zanzibar

    kumbe alshabab wapo hapa na ni wako tayari kuwaangamiza katika pasaka hii..asee kuweni makini coz they are well trained...somalia ndo moja ya nchi ambayo terrorist are highly trained ikiwepo Yemen kwa kina Rostam,Pakistan etc..hhakuna atakayepona sio muislamu na wala mkristo kwa kweli
  12. lesere

    Tanzia: Askofu Thomas Laizer wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini afariki dunia

    R.I P Olmonyorit laizer...kitok Enkai
Back
Top Bottom