Recent content by leprincess

  1. leprincess

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Ela ya sensa bado haijaisha.Subiri iishe mkeka utaisha wenyewe Hadi 2032.
  2. leprincess

    Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

    Osaka, Dar -musoma.Hii kampuni iachene na masafa marefu.Gari mbovu aisee
  3. leprincess

    Kwanini Rais Samia akienda kijijni kwao anafikia hotelini?

    Sasa kwanini msijichange na mwenyekiti wenu mkamalizia pale iliposihia Hadi kule mission? Shida watu wa lupaso mnapenda kutafuniwa kila kitu.
  4. leprincess

    Kwanini Rais Samia akienda kijijni kwao anafikia hotelini?

    Acha basi,ni Yule chief Tu ndio aliuawa,lakini Maza alikufa Kwa maradhi Tu maana alikua mnene Hadi hawezi kuinuka.Wanaotoa Stori wanasema chief akikunyooshea kidole kesho hufiki.
  5. leprincess

    Kwanini Rais Samia akienda kijijni kwao anafikia hotelini?

    Lami kutoka masasi Hadi pale kwake.
  6. leprincess

    Kwanini Rais Samia akienda kijijni kwao anafikia hotelini?

    Mbona kawawekea lami,wenyewe mmeshindwa kujiendeleza Kwa kumtegemea che nkapa[emoji51]
  7. leprincess

    Kwanini Rais Samia akienda kijijni kwao anafikia hotelini?

    Sio mmakua wa kule lupaso?
  8. leprincess

    Kwanini Rais Samia akienda kijijni kwao anafikia hotelini?

    Sasa mgogoro wa wazaz wake yeye aliuingilia wa nini?kama walistahili kufanyiwa Hivo yeye kwanini ahukumu Wananchi waliompigia Kura?Shida watu wa kule pia hawataki kwao!
  9. leprincess

    Kwanini Rais Samia akienda kijijni kwao anafikia hotelini?

    Mbona BWM alikua halali pale lupaso,alikua anaenda kulala mtwara mjini au dar? Ni maamuzi.
  10. leprincess

    What will I Do?

    Jumatatu mkuu
  11. leprincess

    TANZIA Ajali yaua 5 na kujeruhi 36 Shinyanga

    Mleta taarifa fafanua vizuri tafadhali,Bus la Najmunisa lilikua linatokea wapi?Dar-bunda? Au Bunda-Dar? Dar-mwanza au Mza-Dar?
  12. leprincess

    DOKEZO Tunaomba Msaada: Tumedhulumiwa na LE MARAHEB RESTAURANT & more mishahara yetu na kubambikiwa kesi ya jinai na mwajiri wetu mwarabu

    We nawe unakurupuka kama unakunya kwenye ndoo ya unga! Au ni kibaraka wa hao Mayemen?balance shob* basi.Mwenzio anahitaji Msaada uko hapa na kitechno chako kujipu sht
  13. leprincess

    Orodha ya watu wanaojiona wajanja nchi hii

    Bila kuwasahau maafisa elimu,tena awe na elimu ya kuchomelea, lahaulaah!
Back
Top Bottom