Acha basi,ni Yule chief Tu ndio aliuawa,lakini Maza alikufa Kwa maradhi Tu maana alikua mnene Hadi hawezi kuinuka.Wanaotoa Stori wanasema chief akikunyooshea kidole kesho hufiki.
Sasa mgogoro wa wazaz wake yeye aliuingilia wa nini?kama walistahili kufanyiwa Hivo yeye kwanini ahukumu Wananchi waliompigia Kura?Shida watu wa kule pia hawataki kwao!
We nawe unakurupuka kama unakunya kwenye ndoo ya unga! Au ni kibaraka wa hao Mayemen?balance shob* basi.Mwenzio anahitaji Msaada uko hapa na kitechno chako kujipu sht
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.