Wakili ebu tufafanulie dhamana huwa inatolewa VP na ni makosa gani ambayo yanamnyima mshtakiwa dhamana pia kuhusu kesi ya Lema je dhamana si haki yake ebu tueleweshe bila kutafuna maneno ili tuelewe
Mungu anakuona na nyie ndiyo watu mnaoipeleka Tanzania ktk laana kwa sababu ya uonevu usiokuwa na sababu ebu mumwogope Mungu ambaye kila siku mnamtaja hivi mnafikiri Mungu anafurahia uonevu huo mnaomfanyia Lema hakika Mungu yupo yule anayejibu kwa wakati maana Mungu awahi wala achelewi ktk hili...
Usiwe mtu wa majungu mtu mzima wewe hivi kama kweli alikuwa anahusika na Richmond baba J angemuacha kweli si ndio mahali ambapo angepatia king. Fikiri kabla ya kuandika.
Acha masihara bhana unaongea uongo eti kalazwa Muhimbili na wagonjwa wengine maweee!! Mtu yupo private au aujaona picha vizuri yupo VIP alazwe kule kwenye kitanda kimoja mtu mbili wapi si tunadanganywa tu na tulivyowepesi wa kudanganyika hapo sasa
Ndg yangu uwe unafikili kabla ya kusema kwa uonevu huu unaoendelea Tz tuombe Rehema za Mungu atunusuru pia tumuombe sana Mungu awape viongozi wetu mioyo ya nyama aondowe mioyo ya jiwe.Ewe Mungu tutetee Mh Lema hiyo silaha uliyoionyesha yaani biblia ni silaha kubwa kupita zote usiogope mtetezi...
Inaonyesha kwa jinsi gani Lizabon ulivyokuwa na ulivyokosa uelewa ktk kujua mambo ule msemo unakuhusu sana tu (Mtanzania ukitaka kumficha jambo liweke ktk maandishi) ushabiki wa bure kumbe ujielewi
Kwa kinyerezi mwisho soko limepangwa kuwa eneo linaloitwa magengeni ambako tayari limeshaanza kujengwa ila bado alijaanza kufanya Kazi. Kuhusu stand ipo karibu na kanisa LA Roman ambayo kuanzia Jana imeshaanza kufanyiwa ukarabati ambapo muda si mrefu ihope itaanza. Na hii yote imetokana na...
Naona ujanielewa ndg uwe unasoma post kwa utulivu usiwe na haraka Mteule kitu nilichosema ni kwamba Mungu amsaidie Mkuu wa nchi aone kipaumbele cha kwanza kwa binadamu ni afya na sio viwanda wala ndege. Nadhani umeelewa, Naumia sana kuona wtt wanateseka au kufa kwa kitu ambacho kinawezekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.