Wakuu habarini za mida. Naombeni msaada wenu. Ninasumbuliwa na mvi kichwani mpaka kwa kidevu cjajua tatizo ni nini! Kama kuna dawa au vyakula vya kutumia nisaidien mana huu ni uzee wa kulazimishiwa. Watu wananiambia ni mawazo na kutopata lishe sahii ila kwangu lishe iko poowa.
Naombeni sana...
Habari wandugu!
Mimi ni kijana wa miaka 27 ila mpaka sasa kichwani kumekuwa na mvi nyingi sana na kwenye kidevu. Bado sijajua tatizo ni nini?
Naombeni mnisaidie dawa kama ipo mana zinazidi kuongezeka. Kama dawa ipo au vyakula vipo nitashukuru sana.
Thanks wakuu
Nilichojifunza kwa Mwafrika....
Mwafika sio mtu mkweli kabisa na hawezi kusema ukweli. Ni mtu anayependa vitu vya short cut sana. Mfano unaweza kumwazima mtu pesa anakuambia anakutumia lakini mwisho wa siku unampigia cm hapokei na mwishoni anazima simu. Ni bora kusema ukweli sina au siwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.