Mwenye kujua bei ya mahindi imefika ngapi

Mwenye kujua bei ya mahindi imefika ngapi

Uko wapi na kila gunia kilo ngapi. Niuzie hayo magunia yote
Mkuu niko Manyara. Ukifika 70000 kwa gunia nitatoa zote but chini ya hapo itakula kwangu mazima. Maana nimeshadhulumiwa kama gunia 45. Gunia ya 100 kg
 
shida ni namna ya kuyafikisha huko unakosema itapanda kwani kwa sasa kuanzia mipaka ya wilayan mpk mikoan masharti magumu sana ya kutoa mahindi
Yaani serikali ishindwe kujiwekea akiba yah chakula inavizia watu walime halafu Inawapangi namna ya kuuza ? Hawa watu hawana aibu kabisa kwani wanatoa ruzuku kwa wakulima ?
 
Mkuu niko Manyara. Ukifika 70000 kwa gunia nitatoa zote but chini ya hapo itakula kwangu mazima. Maana nimeshadhulumiwa kama gunia 45. Gunia ya 100 kg
Mkuu hapa tandale dar gunia sh. 60,000/=..
 
Mkuu mwaka huu mahindi hayatapanda sana. KATAVI na KIGOMA waliowahi kupanda mwezi wa 3 nanaanza kula vizuri.
 
wewe sema unapatikana wapi maana huwezi ongelea bei ya mahindi ukiwa mbeya ulinganishe arusha
 
January 10, 2018
Bei ya mahindi yaporomoka, wakulima nyanda za juu kusini mwa Tanzania walia:


Source: azam tv
 
Wakulima tunateseka na tutateseka sana. Yaani tunashangilia tu viongozi ila hasara kubwa mkulima ni huruma. Mkulima hana yako popote yaani mkulima ni mtaji wa kila kitu halafu ni Jalala.
 
Mkuu mwaka huu mahindi hayatapanda sana. KATAVI na KIGOMA waliowahi kupanda mwezi wa 3 nanaanza kula vizuri.
Wa tatu mbali hivyo ss mbeya sasa hivi mahindi mabichi ni throughout the year hadi sasa yapo kibao mabichi yamekomaa na kila mwezi yanakomaa.
Ukija mbeya msimu wowote ukakosa mhindi wa kuchoma ujue haujafika Mbeya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom