kwa maelezo ya hapo juu kwamba nguo za ndani zimepotea mazingira ya kutatanisha mara kaondokaa na picha zako hatujui alikuw na maana gani kuchukua picha zako hapo kwa mtazamo wangu kuna kitu jaribu waomba radhi kama
uliwakosea nahisi itakuwa solution maana mambo mengne yanaweza yakawa...
hiyo ni henia na mara nyingi huwa upande wa korodani ya kulia huwa inauma ukitembea na hata ukiishika kwa mkono na huvimba na huwa kubwa zaidi kuliko nyenzie nenda hospitali utapewa dawa na kama ikijirudia wsnakufanyia upasuaji
Madish ya ft 6 ya zamani bado ni dili lkn wengi hawajui mfano mm nili nilinunua dekoda pekee ya startime nikafungia dish la zamani ya ft 6 kwa kuweka ku pale kati na kugeuzia magharibi kama yanavyoaangalia madish madogo ya azam inapiga kazi hata azam kwa dish kubwa na dstv na zuku na continental...
Anachokufanyia mkwewe siyo kabisa mpk mukafunga ndoa it means atatimiza haja zako zote na siyo adhabu anazo kupa, kwanza wewe mvumilivu maan wngine wake zao wakizingua wanatafuta pembeni ila cha kukushauri kaa chini na mkeo muulize nini chanzo cha kukufanyia hivyo maana lazima kuna kitu si hivi...
Ni hivi mara nyingi simu za huawei mfano y530 ikiwa inawaka inaandika huawei af haiendelei zaidi ya pale hapo inamaanisha lazima iwe flashed so ukienda kwa mafundi iwaambie nataka flash huawei wanasema hatuflash
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.