Acha tu mkuu matapeli ni wengi sana sikuhizi.Uliponea chupu chupu
Matapeli sio wengi bali wajinga ndo wapo kibao. Na ukitengeneza uwekezaji kwa ajinga unapata hela!Acha tu mkuu matapeli ni wengi sana sikuhizi.
Uko sawa kabisa mkuuWakujitafakari ni nyie mnaotapeliwa kizembe,unamtumiaje hela mtu usiyemjua?.tatizo liko kwenun,wao wanachofanya ni kuchangamkia tu fursa.
ukitaka upige hela fasta deal na wajinga,ndio mtaji wa wanasiasa,makanisa ya dili,na wafanyabiashara,suckas are born everyday.Matapeli sio wengi bali wajinga ndo wapo kibao. Na ukitengeneza uwekezaji kwa ajinga unapata hela!
Mmmmhhh Sawa BuanaMatapeli sio wengi bali wajinga ndo wapo kibao. Na ukitengeneza uwekezaji kwa ajinga unapata hela!
So ukiona umeingia kwenye anga zao ujue una upungufu wa maarifa. Hata Bible inaweka wazi kuwa ... "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"ukitaka upige hela fasta deal na wajinga,ndio mtaji wa wanasiasa,makanisa ya dili,na wafanyabiashara,suckas are born everyday.
Mbona unaguna Ashomile mpaka bassMmmmhhh Sawa Buana
Tunaonekana tuliotapeliwa wajinga sana ee!!Mbona unaguna Ashomile mpaka bass
Tunaonekana tuliotapeliwa wajinga sana ee!!
Nitumie namba yakemimi mwezi huu mwanzoni kuna mtu aliweka tangazo mahali nikajua ni mwizi tu ila nikaamua ku bet tu,sababu niliona hiyo elf 10 siyo shida sana, alinambia nitaungwa baada ya saa 12 ila hadi saa 24 kimya nikimpigia hapokei nikajua nishapigwa ila baadae kidogo nikaona sms kuwa nimeungwa na kifurushi cha 10gb kwa mwezi ndo natumia hadi sasa,ila jamaa alinambia nitakuwa nazipata hizo 10gb kila mwezi kwa miezi mitatu mfululizo sasa sijui kama ni kweli au hizi nilizopata ndo mwisho
Kutapeliwa na mtu usiyemjua ni uzembe. Nampongeza sana jamaa kwa kazi nzuri aliyokufanyiaKuna tapeli mwingine wa elfu saba saba tu, yaani yeye anakuambia anatoa lock mara sijui iphone, baada ya hapo, mara code haipo, mara ohh masaa ya usa, halafu jamaa ukimcheki ana sura mbaya kama mavi ya mtu aliyekula ugali wa mtama. Kwa ufupi dili za JF nyingi ni mbovu na kuna mtandao wa matapeli
Nitumie namba yake
Mkuu kawaida wala usijali0753 069 553 anaunga kwa laini za voda tu, mi nilibahatisha tu kiongozi sasa usijepigwa ukaona kama nimeshirikiana nae
Sio sana kivile ... ila ..Tunaonekana tuliotapeliwa wajinga sana ee!!
Sawa mkuuSio sana kivile ... ila ..
Ikummbukwe hakuna binadamu asiyekuwa mjinga hivyo hilo lisikupe shida sana!
Kama nimekukwaza naomba unisamehe!Sawa mkuu
KawaidaKama nimekukwaza naomba unisamehe!