Recent content by Leopold Nzohumpa

  1. L

    Utaratibu/ratiba katika utoji wa ajira kwa walimu.

    Kwa mjibu wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi, ajira za walimu huwa zinatolewa kati ya Feb mosi hadi 30 machi. kwa walimu tuliomaliza mwaka jana tuzidi kuvuta subira kamwe serikali haiwezi kutusahau. Jaribuni kupuuza baadhi ya sms za kitaa kuhusu siku ya kutangazwa kwa ajira zetu...
  2. L

    Download Gospel Music mp3s

    Asante sana ubarikiwe.
  3. L

    Matukio ya polisi kuwaua waendesha pikipiki

    UPOTEVU WA AMANI>> Ni miezi michache tu imepita tangu kutokea kwa tukio la kuuwawa kwa mwendesha pikipiki (bodaboda) na askari mmoja huko wilayani Ngara mkoani Kagera. Tukio ambalo liliumiza vichwa vya watanzania kwa kujiuliza tatizo hasa ni nini. Tukio hili linafanana na hili la jana...
  4. L

    Ujio wa Rais wa China, Xi Jinping nchini Tanzania - Machi 2013

    Ujio Wa Rais wa China uwe hata na manufaa kwa wakaz wa mkoa wa KIGOMA kwa kuizungumzia barabara ya KIGOMA -NYAKANAZI.
  5. L

    Shangazi yangu ananibaka kila mara, nifanye?

    Kwa msaada kama huo bora ukafa masikini, kitendo anachofanyiwa huyu bwana mdogo ni fedheha tupu.Vp kwan mpaka sasa anakufanyia ujinga kama huo kama vp mpeleke panapohusika but naona kama umeshamzoea. komaa.
Back
Top Bottom