Ila Yesu alisema mtawajua kwa matunda na matendo yao hakusema hakutakuwepo tena na manabii wa ukweli soma Mathayo Mtakatifu 7:15....etc ila moja wapo ya kifungu kwenye biblia cha kumtambua nabii wa kweli ni kutoka Kumbukumbu la torati 18 kuanzia mstari wa 18 hadi 22..vipo vifungu vingi ila...
Zipo nyingi tu, ingia youtube search T.B Joshua Prophesies utapata aina tofauti tofauti hakuna alichowahi tabiri kisitokee unless mumjoin kusali kwa mungu kuepusha! lakini kwa sababu vichwa vya wengi ni vigumu matokeo huwa kama yalivyo....
Hivi Kweli mtu wa mungu kweli kweli ambae amepewa kipawa na mungu mwenyewe kupitia yesu kristo anaweza akasimama kujitamba na kujiita MSTAHIKI MHESHIMIWA NABII WA KARNE YA 21......!!!!!!!!!! yaani amejipandisha cheo mwenyewe badala ya kumpa sifa Yesu mwenyewe anajipandisha yeye cheo, Hii hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.