Inauma sanaa niliyempenda baada ya kugundua madudu yake na kumgombeza kanuna na juamua kuniacha now ni week ya tatu yaan nimedata nakuwa sipo vizur mpaka nimeamua kuja arusha nipunguze mawazo lee week imeisha nipo hotel siielewi hata nafanya nin apa msaada plz ila kumuamini na kumpenda dem ni ujinga
Ndug poleh sana ila hayo yalishanikuta hayo rafiki yangu ila kama hutojali chukua namba za hao jamaa kisha watafute wapeleleze uwafahamu kisha tafuta rafiki yako mmoja nenda muzungumze nao kila mmoja kwa wakati wake kuwa mpole na uliza kwa ukarimu ukihakikisha mtoto sio wako tafathali huyo mama...
Jitahidi uindoke hapo ukaishi kwenu au kwako..maana huyo ni mke wake na ni haki yake kufanya hayo asipofanya hivyo mkewe atasaliti jaribu kuweka ratiba ambayo hutokuwa karibu nao kama huwezi kuondoka
Unaweza ukacoment upendacho ila kila binadam anatabia zake mimi sio jinga la mtaani huebda ata apo ulipo bila mimi kufanya majukumu yangu sahihi wew usingekoment hayo...heshimu mawazo ya mtu usitus...
Wakuu habarini za saiz naandika uzi huu nikihitaji mawazo yenu kwani nipo njia panda na nashidwa kujua nifanye nin labda mawazo yenu yaweza nijenga kifikra.
Bila kupoteza muda ipo hivi, Nimekuwa na mahusiano kwa zaidi ya miaka miwili na nusu na huyu binti ila amenifanyia haya miezi minne...
Story ni ndefu but in short...yupo jamaa flan alikuwa anamsumbua dem wangu kwa muda mrefu na nilimkanya sana ila siku moja nikabaini ametembea na dem wang na kwa bahati mbaya au nzuri jamaa alikuwa kaoa na mke wake aligundua.. Nikachukua muda kidogo siku moja nikakuta mke wa jamaa anachat na dem...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.