Recent content by Leon awinia

  1. Leon awinia

    Naomba kuuliza kuhusu suala la National Investment Company Limited (NICOL) kwa wanahisa waliopata huduma ya gawio ufanunuzi

    Naomba kujua kama kuna moja wa wanachama walio wekeza NICOL kwa kununua share kama walikutana na majibu niliokutana nayo katika office zao 1. Kuhusunia na malipo kuwa wanalipa wanachama kwa miaka miwili ya mwanzo baada ya ununuzi wa hisa lakini inayo endelea hawalipi nimekutana nayo katika...
  2. Leon awinia

    Naomba kusaidiwa ufafanuzi kuhusu swala NICOL na ulipaji wake kwa wanahisa

    Naomba kujua kama kuna moja wa wanachama walio wekeza NICOL kwa kununua share kama walikutana na majibu niliokutana nayo katika office zao 1.kuhusunia na malipo kuwa wanalipa wanachama kwa miaka miwili ya mwanzo baada ya ununuzi wa hisa lakini inayo endelea hawalipi nimekutana nayo katika...
  3. Leon awinia

    Huhitaji kuambiwa kwenye familia kuna hali mbaya wakati unaona!

    Ngoja nigonge geti nasikia kelele hapo kwa jirani nahisi tu iko namna 🤔 Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Leon awinia

    Naomba kuliza kuhusu Ajira Portal wenye uzoefu nayo

    Ukisha vi upload huna haja tena ya kurudia cha msingi usisahau password na email yako na kazi ikitoka ya sifa yako system itakutumia sms Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  5. Leon awinia

    Naomba kuliza kuhusu Ajira Portal wenye uzoefu nayo

    Sawa brother nimekuelewa hapo Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Leon awinia

    Naomba kuliza kuhusu Ajira Portal wenye uzoefu nayo

    Niulize tena kwa mfano nilituma application juzi wakanijibu ajiraportal naweza kujibiwa na nisiwe select kwny interview kama sija certified vyeti Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Leon awinia

    Naomba kuliza kuhusu Ajira Portal wenye uzoefu nayo

    Asante ndg Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Leon awinia

    Naomba kuliza kuhusu Ajira Portal wenye uzoefu nayo

    Shukurani mkuu nimekusoma Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Leon awinia

    Naomba kuliza kuhusu Ajira Portal wenye uzoefu nayo

    Kwahy bila ku certified hvy kuitwa inaweza kuwa ndoto Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Leon awinia

    Naomba kuliza kuhusu Ajira Portal wenye uzoefu nayo

    Habari wana JF Naomba kupewa elimu kuhusu ajira portal ni percent ngapi system inakuruhusu kuappy ...? Lakini jambo lingine ukiscan vyeti original na ku upload ni sawa ...? sababu nimekutana na kasumba moja hapa na kuambiwa mpk vyeti viwe certified na mwanasheria hii imekaaje wakati nimescan...
  11. Leon awinia

    Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

    Hii hujajenga wewe kbs Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Leon awinia

    Natafuta fursa ya ajira kujitolea au kudumu

    Habari wana Jamii Forum. Mimi ni Kijana mwenye elimu ya Diploma ya Customs and Tax Management katika chuo cha (ITA) Institute of Tax Administration lakin nina Certificate Clearing and freight forward kutoka chuo cha Bandari. Dhumuni kuu ni kuomba msaada wa kupatiwa ajira na pia ninaozoefu wa...
  13. Leon awinia

    Unayetafuta ajira: niulize swali lolote kuhusu NGOs, Consultancies na international donors

    Mkuu nina maswali tatu 1) kuomba volunteering/ internship by door to door /email cz email huwa hawajibu sijui wapi nausea 2)hiyo CV inatakiwa imeshiba as fresher 3)nimesomea mambo ya tax management hiyo nafasi ninayo ktk hz NGO's
  14. Leon awinia

    Kapiga simu nyumbani wamfuate, watekaji walao ni wema kumpa simu

    Ni aibu ambayo nchi inajiletea kbs watu wanaogea lkn wana haya usoni
Back
Top Bottom