ugali labda itokee nimetembelea ndugu wakapika nitakula ,bahati mbaya sitembelei mtu mwaka unakatika mmoja au miwili .Sijawahi kuupenda na sili wala siukumbuki
Tigo hivi mpaka mfokewe ndio muelewe kwamba nimekwazika,kwanini tatizo hili halifiki mwisho, hivi mnafahamu madhara ninayopata mteja wenu kwa kutopatikana hewani kwa mwezi mzima kwa namba hii ambayo nimekuwa nikiitumia kibiashara?
Nakumbuka haikuwa na hela, tatizo lake wanasema ni technical linahusiana na system yao ,kifupi kwenye karatsi yangu imeandikwa "HLR".Sasa ninachokosa matumaini kama karibu wiki nne hakuna matokeo chanya nashindwa kujua hatma yake
nimeenda tigo shops mbili JMall na MlimaniCity, na wanasema hata nikienda makao makuu hatua nitazofanya ni kama hizi nilizofanya tigo shops,ila jumatatu itanibidi nijaribu kufika makao makuu labda nitapata msaada zaidi
Kwa masikitiko makubwa naandika baada ya tigo kukwama kunirudishia line yangu hewani iliyopotea karibu mwezi sasa na line hiyo niliisajili kwa kutumia namba ya NIDA .
Line nilipoteza tarehe 26 july 2020,na kwa sababu ya changamoto ya mtandao wa police loss report nikaja kupata loss report...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.