Mtoa mada bila shaka ww ni mfanyakazi wa azam kwahiyo umeamua kujipigia promo lakini kwenye habari nchi hii hakuna kama ITV saa mbili ikifika kila kona ya nchi watu wanatazama itv sasa sijui ww unazungumzia itv gani bado inafanya vizuri ikifika saa mbili kila kona nchi hii wanaangalia itv shida...
Anakiherehere kweli huyu jamaa utazani yy ndio anamla huyo dada sisi wengine ndio tunampenda hivyo alivyo hasa anapopita pale mbele huyu dada yupo vizuri sana kwasasa kati ya watangazaji wa kike nchini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.