Kuizidi akili yake inaonyesha dhahiri huyu ni mwanamke, anaaibisha wanawake wenzieI'm done sitahangaika na wewe tena nimeshagundua nabishana na litaahira la chuo cha Kata!
Emotional management anahitaji kwa kweli 😷Kumshauri arudi tuu akasome upya inaonekana hamna kitu kabisa ni mtu wa mihemko tuu😀😀
Akhsante Mkuu wangu na hii ndiyo faida Kubwa ya Kusoma tu Chuo Kikuu bora nchini cha SAUT Mwanza ambapo 'wanakupika' vyema tu Kichwani.
Cc: kantasundwa
Laiti ningepata nafasi kwa Mtu ambaye namvizia sana Kumpata na Kufanya nae 'Mahojiano' kwakuwa naikubali mno 'IQ' yake ningeanza na haya....
1. Ni Kitu gani cha Kimaendeleo unadhani Serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli haijafanya na Yeye akishinda atakifanya?
2. Ni kwanini anahusisha Tukio lake moja kwa moja na Serikali na kamwe si Maadui zake wengine labda nje ya Siasa?
3. Je, ana Uadui wa Kisiasa tu au ana Chuki Binafsi dhidi ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli?
4. Je, CHADEMA ya sasa ni Taasisi au ni ASASI tu yenye Umiliki wa Kudumu kutokea Mkoani Kilimanjaro aliko Muasisi wake?
5. Je, akishinda Urais ataendelea kubakia na Msimamo wa Rais Magufuli na CCM yake Serikali ihamie Dodoma au atautengua upesi?
6. Je, Watanzania wanahitaji Mabadiliko ya Katiba au Misingi ya Kimaadili yenye Utashi mwingi wa Kiuwajibikaji na Kiutendaji?
7. Je, ni kweli kwamba hulka ya Wapinzani wa Tanzania hasa wa CHADEMA ni Kupinga tu kila Kitu na hakuna Jema CCM imelifanya?
Kuwahoji Wanasiasa ni kama vile kuwepo na Kozi ya 'Kijeshi' ambapo ikimalizika tu halafu ikaonekana kuwa hakuna hata Majeruhi Mmoja au hata Waliokufa iwe isiwe itarudiwa tu kwani inaonyesha Kozi ilikuwa ni Legelege ( Utopolo ) tupu hivyo hata katika Tasnia unatakiwa unapomaliza 'Kumhoji' Mwanasiasa basi muda wote Jasho liwe linamtoka na mkimaliza awe yuko Hoi.
Laiti kungekuwa na uwezo wa 'Media' Kukodi Watangazaji wanaojua Kuhoji kwa Kuchokoza, Kuudhi na Kukera basi kuna Chombo Kimoja ningekishauri 'Kimkodishe' Mtangazaji ambaye nadiriki kusema kuwa kwa Tanzania hana 'Mpinzani' Kimaswali Ndugu Aloyce Nyanda wa Star Tv kwani kwa 'IQ' yake ilivyo Kubwa kuna Mtu leo angepandwa na Hasira na hata Kuchukia na Kutukana.
Unaharibia hicho chuo sifa, itaonekana kinafundishs kutukana mkuu.
Rudi unasoma tena shule bado mweupe kichwani inavyoonyesha tuu 😀😀😀
Dogo wacha uwehu hapo hakuna 'critical Questions',otherwise hujui maana ya 'CQs',rudi shule.Hivi kumbe Mtu akisema Mgeni ahojiwe 'Critical Questions' anakuwa amemaanisha anayehojiwa ashindwe Kuyajibu? Kuna Watu ni Majuha hapa JF.
Hayo maswali kwanini usimuulize wewe,au hao watangazaji uliowataja kwanini wasimtafute ili wamuulize hayo maswali nadhani ungewashauri hao watangazaji wako wamtafute wamuulize hayo maswaliLaiti ningepata nafasi kwa Mtu ambaye namvizia sana Kumpata na Kufanya nae 'Mahojiano' kwakuwa naikubali mno 'IQ' yake ningeanza na haya....
1. Ni Kitu gani cha Kimaendeleo unadhani Serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli haijafanya na Yeye akishinda atakifanya?
2. Ni kwanini anahusisha Tukio lake moja kwa moja na Serikali na kamwe si Maadui zake wengine labda nje ya Siasa?
3. Je, ana Uadui wa Kisiasa tu au ana Chuki Binafsi dhidi ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli?
4. Je, CHADEMA ya sasa ni Taasisi au ni ASASI tu yenye Umiliki wa Kudumu kutokea Mkoani Kilimanjaro aliko Muasisi wake?
5. Je, akishinda Urais ataendelea kubakia na Msimamo wa Rais Magufuli na CCM yake Serikali ihamie Dodoma au atautengua upesi?
6. Je, Watanzania wanahitaji Mabadiliko ya Katiba au Misingi ya Kimaadili yenye Utashi mwingi wa Kiuwajibikaji na Kiutendaji?
7. Je, ni kweli kwamba hulka ya Wapinzani wa Tanzania hasa wa CHADEMA ni Kupinga tu kila Kitu na hakuna Jema CCM imelifanya?
Kuwahoji Wanasiasa ni kama vile kuwepo na Kozi ya 'Kijeshi' ambapo ikimalizika tu halafu ikaonekana kuwa hakuna hata Majeruhi Mmoja au hata Waliokufa iwe isiwe itarudiwa tu kwani inaonyesha Kozi ilikuwa ni Legelege ( Utopolo ) tupu hivyo hata katika Tasnia unatakiwa unapomaliza 'Kumhoji' Mwanasiasa basi muda wote Jasho liwe linamtoka na mkimaliza awe yuko Hoi.
Laiti kungekuwa na uwezo wa 'Media' Kukodi Watangazaji wanaojua Kuhoji kwa Kuchokoza, Kuudhi na Kukera basi kuna Chombo Kimoja ningekishauri 'Kimkodishe' Mtangazaji ambaye nadiriki kusema kuwa kwa Tanzania hana 'Mpinzani' Kimaswali Ndugu Aloyce Nyanda wa Star Tv kwani kwa 'IQ' yake ilivyo Kubwa kuna Mtu leo angepandwa na Hasira na hata Kuchukia na Kutukana.
Mbona maswali yenyewe mepesi kuliko hata ya yule dada wa ITV?? Lissu ndo ulitaka umuulize maswali ya kitoto hivyo?? Siku ukibahatika utajibiwa maswali yako vzr na utafundishwa na namna ya kuuuliza maswali ...lissu ni hbr nyingine ndg
Hayo maswali kwanini usimuulize wewe,au hao watangazaji uliowataja kwanini wasimtafute ili wamuulize hayo maswali nadhani ungewashauri hao watangazaji wako wamtafute wamuulize hayo maswali
Swali la maana hapo ni moja tu namba sita, haya mengine ni umbeya tu toka inzi tusiowapenda wale wa kijani.Laiti ningepata nafasi kwa Mtu ambaye namvizia sana Kumpata na Kufanya nae 'Mahojiano' kwakuwa naikubali mno 'IQ' yake ningeanza na haya....
1. Ni Kitu gani cha Kimaendeleo unadhani Serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli haijafanya na Yeye akishinda atakifanya?
2. Ni kwanini anahusisha Tukio lake moja kwa moja na Serikali na kamwe si Maadui zake wengine labda nje ya Siasa?
3. Je, ana Uadui wa Kisiasa tu au ana Chuki Binafsi dhidi ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli?
4. Je, CHADEMA ya sasa ni Taasisi au ni ASASI tu yenye Umiliki wa Kudumu kutokea Mkoani Kilimanjaro aliko Muasisi wake?
5. Je, akishinda Urais ataendelea kubakia na Msimamo wa Rais Magufuli na CCM yake Serikali ihamie Dodoma au atautengua upesi?
6. Je, Watanzania wanahitaji Mabadiliko ya Katiba au Misingi ya Kimaadili yenye Utashi mwingi wa Kiuwajibikaji na Kiutendaji?
7. Je, ni kweli kwamba hulka ya Wapinzani wa Tanzania hasa wa CHADEMA ni Kupinga tu kila Kitu na hakuna Jema CCM imelifanya?
Kuwahoji Wanasiasa ni kama vile kuwepo na Kozi ya 'Kijeshi' ambapo ikimalizika tu halafu ikaonekana kuwa hakuna hata Majeruhi Mmoja au hata Waliokufa iwe isiwe itarudiwa tu kwani inaonyesha Kozi ilikuwa ni Legelege ( Utopolo ) tupu hivyo hata katika Tasnia unatakiwa unapomaliza 'Kumhoji' Mwanasiasa basi muda wote Jasho liwe linamtoka na mkimaliza awe yuko Hoi.
Laiti kungekuwa na uwezo wa 'Media' Kukodi Watangazaji wanaojua Kuhoji kwa Kuchokoza, Kuudhi na Kukera basi kuna Chombo Kimoja ningekishauri 'Kimkodishe' Mtangazaji ambaye nadiriki kusema kuwa kwa Tanzania hana 'Mpinzani' Kimaswali Ndugu Aloyce Nyanda wa Star Tv kwani kwa 'IQ' yake ilivyo Kubwa kuna Mtu leo angepandwa na Hasira na hata Kuchukia na Kutukana.
Swali la maana hapo ni moja tu namba sita, haya mengine ni umbeya tu toka inzi tusiowapenda wale wa kijani.
Una yaona yana mantiki kwasababu hujataka kufikiri japo kidogo. Baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi watu wengi walipendekeza cctv kamera zilizo kuwa nyumbani kwa waziri Kalemani zitumike kuwabaini walio mpiga . Kesho yake ziliondolewa haraka sana ili kufuta ushahidi. CHADEMA walipo omba ufanyike uchunguzi huru juu ya tukio hilo, serikali ikakataa. Bado hujajua tu nani alihusika ?Nimeyapenda maswali yako cos yanamantiki sana
Mlimani! Isionekane?Alisema thesis yake ipo Mlimani pale
Aombe poo kivipi wakati yeye hajajeruhi mtu, yeye ndiye aliyejeruhiwa.Lissu lazima aombe poooo
Wanasiasa sio watu wa kuwanyamazisha kirahisi hivyo wana maneno sana yaani wanaongea hadi unasahau uliuliza niniMbona maswali yenyewe mepesi kuliko hata ya yule dada wa ITV?? Lissu ndo ulitaka umuulize maswali ya kitoto hivyo?? Siku ukibahatika utajibiwa maswali yako vzr na utafundishwa na namna ya kuuuliza maswali ...lissu ni hbr nyingine ndg
Ungetumia Kiswahili tungekuelewa ona sasa unavyo haribu lugha za watu. Toka lini plural IS ikaendena na wingi kwa maana QUESTIONS?Ur questions is an outdated and nonsense to him TL For instance quiz no four (4)