Recent content by Lengimojii

  1. L

    Wanawake wanaovaa namna hii wana ulevi wa ngono

    Biashara matangazo mkuu, online imekuwa ngumu siku hizi bandle limechacha sasa wameamua kuwa live tuu ,,hahahhahaaa ya duniani mungu tunusuru
  2. L

    Kama jinsia ya kiume hili jambo linanitesa mno; nina tabia za kike

    Wanaume wa dar ngoja waje watakushauri ss wa mikoani hatujuagi hiyo mambo huku kipimo cha mwanaume ni kazi ngumu na ugali mkubwa
  3. L

    Bayern Munich Nani Kawaroga?

    Hapana, ila nae sii mdogo kwenye michuano hii lolote lawezekana endapo watakutana fainal !
  4. L

    Bayern Munich Nani Kawaroga?

    Yah ni kweli nikiangalia timu zote haziko vizuri sana ila najaribu kuona jinsi Liverpool ilivyo kihistoria na jinsi inavyozidi kuimarika kila uchao kupitia kwa washambulizi wake kina mohamed salah
  5. L

    Bayern Munich Nani Kawaroga?

    Naona kama mtani wangu Mr,Liverpool akinyanyua kombe hivi!
  6. L

    UEFA FINAL: Bayern Munich Vs Liverpool, Bayern atabeba kombe kwa ushindi wa 2-0 dhidi ya Liverpool

    Nashangaaaa ndoto yake aliota akiwa stress za maisha binafsi!
  7. L

    Sababu Kubwa Inayowafanya Wanawake Kupiga Kelele Wakati wa Tendo la Ndoa

    Kwa bongo wanawake wengi hupiga kelele sii kwa utamu la hasha ni ili wakuibie vizuri/ hapa naongelea mahawara!
  8. L

    Mwanangu wa kike wa chekechea kaniuliza "tutakaa kwenye nyumba ya kupanga hadi lini"?

    Dawa ya watoto kama hawa akianza tuu kukuuliza swali ni kumwambia akamuulize mama yake maana anaweza kukuongezea stress siku ikawa mbaya!
  9. L

    Tafadhali Wakenya Msituharibie Lugha Yetu

    [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] ako na mayaye kwa restaurant yako[emoji38][emoji38][emoji38]
  10. L

    Mji wa Moshi kuwa jiji ni suala ambalo halihitaji mjadala, nini kinakwamisha?

    Hapo ni round about ya KCMC mkuu, kama ni mwanza ungeona samaki akitema maji!
  11. L

    Mwanangu wa kike wa chekechea kaniuliza "tutakaa kwenye nyumba ya kupanga hadi lini"?

    Hili swali la 'baba lini tutakuwa na nyumba yetu" nilishaulizwa na mwanangu tena ndo kwanza yupo class1 mpaka nishamchoka! Nadhani wakiwa shule huwa wanatambiana!
  12. L

    Mbeya: Kijana Elia Haule amepotea katika mazingira ya kutatanisha

    Dah poleni sana mungu tuu amrudishe akiwa hai maana kadhia ya kupotelewa na ndg inauma kweli kweli haswa kwenye mazingira kama hayo !
  13. L

    Lwandamina ashusha tuhuma kwa kigogo yanga, ataja mambo 6 yaliyomuondoa Yanga

    Au mkwasa anataka nafasi zote mbili?
Back
Top Bottom