Recent content by lengijave

  1. L

    Haya ndio Maneno ya Mwisho ya Baba wa Taifa Hili Mwalimu Nyerere Kuhusu Muungano!!

    Mr.Malecela,Tanzania inachangamoto nyingi sana,haiwezi kuchukua maneno ya Nyerere kwa ajili ya kizazi cha miaka hamsini ijayo,Muungano ambao wananchi wanataka ni ule wenye manufaa,na ndio maana warioba alitoa rasimu ambayo ni mapendekezo ya wananchi,Nyerere alikuwa mwadilifu lakini hakufanikiwa...
  2. L

    EFD: Wafanyabiashara Kariakoo wagoma!

    Serikali imechemka sana, vile wao wanahela wanajisahau hivi uta mlazimisha mtu anunue hicho kifaa kwa 700,000 wakati hujampa mtaji? Bei yake halali haifiki hata laki 2!!!! Kuhusu sehemu inayo ingiza pesa sana serikali ni bandarini sio kariakoo kama ulivyosema.Nakutakia siku njema
  3. L

    Usiyoyajua kuhusu CHADEMA

    Hayo yote uliyotaja yawe kweli au si kweli Watanzania hayawaingii akilini,KITU WANANCHI WANACHOJUA NI NA WANA UHAKIKA KWA 100% NI KUWA CHADEMA HAKIJAWALETEA UMASKINI WATANZANIA,WANATAKA KUKITOA CHAMA KILICHOLETA UMASKINI KWA WA TZ!!!
  4. L

    Wimbo wa Joh Makini, nje ya box iko njema sana

    Best Video ever in Tanzania Hip hop industry!!
  5. L

    CCM Tujifunze Maana ya Division Of Labour, Tubadilike Sasa!

    Mkuu leo umeamua kutoa yaliyo moyoni ila bado kuna changamoto,coz wewe mwenyewe uliporudi uligombea vyeo vingi sana kana kwamba hakuna raia wengine wenye kuweza kuongoza,na kama sijakosea kwenye CCM tu unavyeo zaid ya kimoja,anyway ninapenda sana blog yako kunachangamoto huwa unatupatia,sms ni...
  6. L

    Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri - Jan 19, 2014

    Sasae hivi nasikiliza wimbo wa blind lead blind by geto boys, the resurrection albamu,Jumapili njema mi sina uelewa mkubwa wa siasa ndio maana nasikiliza hip hop
  7. L

    Waraka wa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Ndg. Absalom Kibanda kwa Rais Jakaya Kikwete

    Kwanza kabisa napenda kuamua kwa hiyari kujitoa jamii forums,naona vitu vingi vinaandikwa humu si vi elewi,nimejaribu kwa mwaka mzima sijapata mwelekeo,pili kuna kamati ilianzishwa ambayo ilikuwa chini ya waandishi wa habari kwa ajili ya kifo cha Mwangosi mimi sikuweza kuelewa ilikuwa na jambo...
  8. L

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Singida ajiuzulu. Adai Kamati Kuu ni wanafiki...

    Hongera sana Uongozi wa CHADEMA kwa kugundua watu hawa ambao walikuwa wanatengeneza mtandao wakufanya watanzania waendelee kuwa maskini kwa miaka 50 ijayo POLENI SNITCH NIGGERS
  9. L

    Nimemsikiliza JK Jana; Tafsiri Yangu...

    Mkuu ya Kaya; Kuheshimu mawazo ya watu wengine ndio mila na desturi yangu. Ila naomba unisamehe sana, kwani ni hatari sana mtu kuwa na "NAROW MIND" alafu akapata nafasi ya kutoa wazo nndani ya jamii. Ok kama unaheshimu mawazo ya watu wengine barikiwa
  10. L

    Nimemsikiliza JK Jana; Tafsiri Yangu...

    Mr.Mjengwa,Mimi ninavyo ona hii suala la East africa sindhani kama litawezekanakwanza kabisa kwenye mioyo ya watanzania hilo suala la east africa halipo.Ukifuatilia kwa kina utaona muungano huo ni wa kisiasa lakini wananchibado hawajana umuhimu wake.Huwezi kulazimisha east africa...
  11. L

    Mwigulu: Kuna vyama vinaendeshwa kama SACCOS...

    Kaka Mwigulu kila analofanya anagonga mwamba,tekelezeni ahadi mlizo ahidi 2010 kama hamuwezi achieni ngazi kwa mh Lema
  12. L

    Msaada: Nani ni tatizo ndani ya CCM?

    CCM nzima ni mbovu,kuna kila dalili kuwa CCM haiwezi kusaidia tena wananchi milioni 45 watanzania,hawana software ya kutatua matatizo,hata wale wanaona wako vizuri kwenye chama ni wale ambao si mafisadi,lkn na wao pia hawana uwezo wa kutatua matatizo ya watu,Kwa hiyo kwa kifupi hakuna...
  13. L

    Lwekamwa ataka mshindi wa pili kiti cha urais awe spika

    Leo Lwekamwa,ni kweli ni mwanaharakati mkubwa sana wa katiba,nakumbuka kunawakati kama sijakosea ni mwaka 2000 alii kanyaga katiba wakati akihutubia wananchi kwenye uwanja wa wazi(si ukumbuki)lakini ilikuwa Dar es salaam Ila sikujua kama alikuja kurudi CCM.OK GOOD ADVICE THOUGH
  14. L

    Inasemekana kundi la Sitta litaunganisha nguvu na CHADEMA kama CCM itamsimamisha Lowassa

    Hivi kundi la Sita ndio kina nani?viongozi wengi waliopo madarakani hawafai kuongoza tena,police wanakamatwa na meno ya tembo!wabunge baada ya kuwaletea maendeleo wanawaletea unga,kiongozi mkuu wa serikali bungeni anasema PIGENE TU,LIWALO NA LIWE,Uhusiano africa mashariki na nchi zanapakana...
Back
Top Bottom