Mungu ni pendo, anapenda watu wote na tena hapendi mtu yeyote apotee.
Karibu Infinity Glory Church Mbuyuni Dar es Salaam tujifunze juu ya upendo wa Mungu kwa wanadamu.
Wakuu habari za jioni. Nimepitia alibaba.com nimeona kuna magari watu wanauza humo, yanaonekana ni mazuri sana na bei zao ni nzuri. Niliyoyaona humo yanauzwa kutoka China.
angalia kwa mfano hii Rav4...
Hongera sana kwa ujasiri wako. Binafsi siungi mkono kabisa huo utaratibu wa kuwapeleka boarding watoto wa darasa la saba. Makuzi na malezi ya mtoto sio tu kuhakikisha wanafaulu mitihani yao shuleni. Yako mengi sana wazazi tunapaswa tuwafundishe watoto wetu kwa kuwa nao nyumbani.
Kampuni ya udalali ya Legit Auctin Mart ya Dar es Salaam imetangaza mnada wa kuuza basi la kampuni ya Kilimanjaro Express kwa amri ya mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam.
Kutangazwa kuuzwa kwa basi hilo kutokana na kampuni la Kilimanjaro kushindwa kulipa deni la shilingi milioni mia tatu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.