Watakuwekea mtego wa kukufuatilia tu lazima wajue uliko itoa
Kuna Jamaa walikuwa wanachimba choo bahati nzuri wakakutana na mawe ya dhahabu, Jamaa wakawa wanachimba Kwa Siri na wakawa wanapeleka mawe yao kusaga mwilo ya mbali ila Jamaa waliwafanyia upelelezi mpaka wakajua sehemu wanakochimba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.