Recent content by Lemongrass

  1. L

    JamiiForums Tanzania Unatumia mbinu gani usipigwe na mafundi kwenye ujenzi?

    Tafuta Ndugu yako unayemwamini mpe asimamie huo ujenzi mlipe Hela/posho Kwa ajili ya usimamizi
  2. L

    JamiiForums Tanzania Nahitaji application ambayo itasaidia kurecord stock movements kwenye maduka yangu mawili

    Tafadhali naomba kujua namna hii inavyofanya kazi
  3. L

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wako wanakuibia? Jaribu mbinu niliyotumia wangu wakaacha

    Taja mifumo imara inayozibiti wizi wa wafanyakazi kwenye biashara
  4. L

    JamiiForums Tanzania Pita hapa, tupate elimu ndogo kuhusu kampuni

    Asante Kwa Ufafanuzi
  5. L

    JamiiForums Tanzania Nini cha kufanya endapo utakuta dhahabu kwenye shamba au kiwanja chako?

    Watakuwekea mtego wa kukufuatilia tu lazima wajue uliko itoa Kuna Jamaa walikuwa wanachimba choo bahati nzuri wakakutana na mawe ya dhahabu, Jamaa wakawa wanachimba Kwa Siri na wakawa wanapeleka mawe yao kusaga mwilo ya mbali ila Jamaa waliwafanyia upelelezi mpaka wakajua sehemu wanakochimba.
  6. L

    JamiiForums Tanzania Mahitaji kusajili kampuni Brela- For Tanzanians

    Je ukiwa unataka umiliki wewe na mtoto wako ambaye yuko under 18years(let's say 2years) Inakubarika?
  7. L

    JamiiForums Tanzania Fahamu mambo haya muhimu kisheria juu ya umiliki na uendeshaji wa kampuni binafsi Tanzania

    Kwani Kampuni haiwezi milikiwa na mtu mmoja?
  8. L

    JamiiForums Tanzania Kijana mwenye wazo la Biashara la mtaji wa Mil 5-10

    Mkuu kufunga machine ya kisasa ya kikoboa mpunga na ku-grade Michele pomoja na kujenga ghara ni estimation ya mtaji kiasi gani
  9. L

    JamiiForums Tanzania Leseni ya kukopesha mikopo midogo midogo

    Asante kwa Ufafanuzi ulioshiba.
  10. L

    JamiiForums Tanzania Leseni ya kukopesha mikopo midogo midogo

    Hapo kwenye amana naomba Ufafanuzi.
  11. L

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu Holding Company-Kampuni Hodhi

    Gharama ya kuandaa memorandum and article of association ni Tsh ngapi?
  12. L

    JamiiForums Tanzania Ni mashine gani hapa mjini ukiwa nayo unaweza kujipatia 50000/-isiyo na presha kwa siku?

    Kwa Tabora Agricultural machineries Gani zinaweza kukutoa?
Back
Top Bottom